Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,290
- 108,306
Mpira umeanza...
pamoja kaka ila bado nina wasiwasi hawa Warundi wanaweza tukalisha...huyo Captain wao ana uchu na nyavu...
Mpira umeanza...
Wamekata??? watakataje???
Ngapingapi na dakika ya ngapi?
Ngapingapi na dakika ya ngapi?
Ngapingapi na dakika ya ngapi?
huu uwanja leo!
hope mambo yatakwenda vizuri nimebana pumb' wasitufunge!!!Dakika ya 10 bilabila mkuu
Somalia wamejitahidi aisee....Mpira umekwisha.
Sudan 1 - 0 Somalia
Wamekata kungekuwa na mbadala ningehamia kwingine
Simon Msuva ameshaanza madudu yake, anakosa goli la wazi hapa.
Kila la heri Tanganyika staz.Dakika ya 10 bilabila mkuu
huu uwanja leo!
Angalia usizibane sana mpaka ukaji-castrate...hope mambo yatakwenda vizuri nimebana pumb' wasitufunge!!!
Sana mkuu lakini naona kama vile wachezaji wetu wamekabwa na baridi hivi halafu kama wanaogopa kuttopeka!!!!!!!!
inabidi beki wanisaidie kuokoa jahazi!!Angalia usizibane sana mpaka ukaji-castrate...
Uwanja unazingua sana eeeh! Tatizo nini kuna mvua...!Hata jana ilikua hivyo hivyo...aisee bado jamvi letu la Ben Mkapa ni matawi mengine, pale mvua ikinyesha unawexa piga deki kama tiles vile