CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Mpira umekwisha.
Sudan 1 - 0 Somalia
 
Mchezo kati ya Tanganyika na Burundi ndio unaofuatia...
 
Naona timu haina MABADILIKO ni ile ile! Wishing u all da best
 
​Tanesco "#€£¥*****#%~ zao mfyuuuuuuu!sio wazalendo kabisa
 
Hurrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr;lakini Kajezi alikovaa leo Kaseja ni kazuri sana kana Mng'aro mzuri,sijui rage akimuona na jesi hii atasemaje,mimi sijui na hak kamgogoro walikonako,mam yangu!!!!
 
Naona burundi wameanza kwa kasi kiasi.!
 
Simon Msuva ameshaanza madudu yake, anakosa goli la wazi hapa.
 
Back
Top Bottom