We nyamaza si ulisha hongwa vijoti vitatuAzm timu piga hao wajinga wajinga goli 3 - 1 iliwarushe ngumi kama kawaida yao...
Kudadadeki kwa hiki kikosi wameumiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:-
Berko
Mwasyika
Oscar Joshua
Vidic
Canavaro
Chuji
Gumbo
Febregus
Kiiza
Bahanuzi na
Luhende
Kipute kimeshaanza
yanga mbele daima nyuma mwiko.!
....0-0
Kwa sababu leo mimi naangalia ufundi hadi sasa Azam wako vizuri kiufundi kilichobaki ni mbinu tu kama wanataka kushinda, na Yanga kama wanataka kushinda inabidi waboreshe mbinu zao maana kiuwezo mpaka sasa wamezidiwa.
yebo wanakoswakoswa hapa
Kudadadeki Migulubaja anataka kuanza kuleta nuksi zake