mpira dakika 90 acha blabla.!
siyo blabla natoa updates, ngoja kidogo, gooo la hapana, hatar ktk lango la yebo.
mpira dakika 90 acha blabla.!
Kwa sababu leo mimi naangalia ufundi hadi sasa Azam wako vizuri kiufundi kilichobaki ni mbinu tu kama wanataka kushinda, na Yanga kama wanataka kushinda inabidi waboreshe mbinu zao maana kiufundi mpaka sasa wamezidiwa.
kiukweli mpaka sasa yanga wamezidiwa kila idara.
leo gemu ngumu kama nini
acha utani wewe!
Kwa nini au kwa nani?
naona yanga wamepagawa kweli..