CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Ahaa PrN kumbe upo enh....very nice,umeniona leo nawakilisha from the begining....ni dalili za uhakika kwamba baada ya dk 90+5/120 au maguu kumi na mawili ya mtu mzima ni kicheko tu
Wewe mara nyingi huwa unaanza hivi hivi, ukiona timu yako inaelemewa unapotea halafu ikishinda unarudi, thibitisha kwamba leo hutapotea utakuwepo mwanzo mwisho bila kujali upepo wa hii mechi unaelekea wapi.
 
ni kweli Boko haram aonyeshe kazi yake isiwe kuitea simba tu

Boko "Migulubaja" tu mbele ya ukuta wa berlin,Oscar Joshua,Canavaro,Yondani na David Luhende maskini beki yangu Juma Abdul sijui itakuwa imepona lkn hakijaharibika kitu Jembe Stephano Mwasyika linaweza kusimama pande yoyote na likafanya kazi
 
Ama kweli leo ni Yanga Vs Azam na Simba
Mimi nitoe kabisa, sishabikii Azam wala Yanga leo naangalia ufundi pale kwenye dimba la kati, kati ya Sure boy na Chuji na kati ya Mwaipopo/Balou na Niyonzima.
 
Kudadadeki kwa hiki kikosi wameumiaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:-
Berko
Mwasyika
Oscar Joshua
Vidic
Canavaro
Chuji
Gumbo
Febregus
Kiiza
Bahanuzi na
Luhende
 
Mimi nitoe kabisa, sishabikii Azam wala Yanga leo naangalia ufundi pale kwenye dimba la kati, kati ya Sure boy na Chuji na kati ya Mwaipopo/Balou na Niyonzima.

Ha ha ha ha,bora ujitoe kabisa ksbb leo ngoma ya watoto haikeshi na huo ulinganifu wako Niyonzima Vs Mwaipopo sijui Balou ni sawasawa na kuilinganisha V8 na Nissan March ya CC 700
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…