Ahaa PrN kumbe upo enh....very nice,umeniona leo nawakilisha from the begining....ni dalili za uhakika kwamba baada ya dk 90+5/120 au maguu kumi na mawili ya mtu mzima ni kicheko tu
Wewe mara nyingi huwa unaanza hivi hivi, ukiona timu yako inaelemewa unapotea halafu ikishinda unarudi, thibitisha kwamba leo hutapotea utakuwepo mwanzo mwisho bila kujali upepo wa hii mechi unaelekea wapi.
Boko "Migulubaja" tu mbele ya ukuta wa berlin,Oscar Joshua,Canavaro,Yondani na David Luhende maskini beki yangu Juma Abdul sijui itakuwa imepona lkn hakijaharibika kitu Jembe Stephano Mwasyika linaweza kusimama pande yoyote na likafanya kazi
Mimi nitoe kabisa, sishabikii Azam wala Yanga leo naangalia ufundi pale kwenye dimba la kati, kati ya Sure boy na Chuji na kati ya Mwaipopo/Balou na Niyonzima.
Mimi nitoe kabisa, sishabikii Azam wala Yanga leo naangalia ufundi pale kwenye dimba la kati, kati ya Sure boy na Chuji na kati ya Mwaipopo/Balou na Niyonzima.
Ha ha ha ha,bora ujitoe kabisa ksbb leo ngoma ya watoto haikeshi na huo ulinganifu wako Niyonzima Vs Mwaipopo sijui Balou ni sawasawa na kuilinganisha V8 na Nissan March ya CC 700