Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
- Thread starter
- #1,721
Ngoma bado ni nzito kwa Yanga......
Taita analamba kadi ya kijinga kabisa......Wtf
Taita analamba kadi ya kijinga kabisa......Wtf
Taita analamba kadi nyekundu......
What a goal by Hamis by Hamis Kiiza(100th minute)....
Dakika ya 102
APR 0-1 Yanga
Ngoma bado ni nzito kwa Yanga......
Taita analamba kadi ya kijinga kabisa......Wtf
Aliumia akatoka nje kwa matibabu,akaingia bila ruhusa ya Refa na refa naye bila hiyana akamlamba 2nd yellow then Red card....kafanyaje mpaka anapewa Nyekundu?
Ngoma bado ngumu kwetu hii mtani......Sasa hivi tuko pungufu,tunadefend hivyo kuruhusu mshambullizi....Jamaa wanatushambulia kweli.....Wenye timu yenu naona mnaelekea kushinda.
Pole samaki poleeee...........Hawa APR wananiagusha kama Simba...