CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Shamte Ally naye anatoka....

Anaingia Rashid Gumbo 'Fundi'
Ukiona kocha anamuingiza mchezaji katikati ya mchezo, halafu anakuja tena kumtoa bila hata kuwa majeruhi, ujue kocha anabahatisha!
 
UTANI-WA-SIMBA-2-300x288.png

tano.jpg haya swahiba.... ngoma ya jirani mmeivalia vibwaya
 
Ukiona kocha anamuingiza mchezaji katikati ya mchezo, halafu anakuja tena kumtoa bila hata kuwa majeruhi, ujue kocha anabahatisha!

wtf kumbe ndio hivyo heehheheheheheeeee mnalo hilo limewaganda..sosi taarab
 
Si mchezo.....Kweli Yanga timu ya wananchi.....lol!

There are currently 236 users browsing this thread.
(66 members and 170 guests)
 
Dakika 30 za nyongeza.....

Hii ngoma ni nzito kwa kweli

Mpira umeanza...........
 
Back
Top Bottom