yanga hakuna kitu kabisa yaani ufadhali manyema wangeingia kwenye mashindano haya..
Mbona wanacheza vizuri tu mkuu....Atletico ni wazuri sana jamaa langu,halafu,mpira ni dakika 90...Ndo kandambili hawa, ukihesabu "what a miss" leo ni sawa na zile lal la lallallal dah goal kick wakati mpira upo katikati wa uwanja. Ongezea zile headings za Kocha wa Yanga aja na fomesheni za kutisha, au next year ubingwa wa Africa...ohhh sasa kama Brasil....ndo utagundua bora wangecheza Urafiki cup akawajua vizuri players...! Hata wakati wa Kondric ilikuwa hivi hivi...! Kocha mzuri anataka mechi moja tu tena na Ruvu Stars...? loooooooooooooooooool
Ndo kandambili hawa, ukihesabu "what a miss" leo ni sawa na zile lal la lallallal dah goal kick wakati mpira upo katikati wa uwanja. Ongezea zile headings za Kocha wa Yanga aja na fomesheni za kutisha, au next year ubingwa wa Africa...ohhh sasa kama Brasil....ndo utagundua bora wangecheza Urafiki cup akawajua vizuri players...! Hata wakati wa Kondric ilikuwa hivi hivi...! Kocha mzuri anataka mechi moja tu tena na Ruvu Stars...? loooooooooooooooooool
Naona TBC1 wanapiga promo kwamba watarusha mechi hizo LIVE.
hivi Rage yuko sirous kweli! Yondani yuko ndani au yatakuwa mambo ya uzembe wa mazembeHivi mtani....Ule uwanja alioahidi Rage kwa mbwembwe na wataalamu toka Uturuki umeishia wapi?.....Vipi kuhusu Simba TV?.....
Mambo ya utani hayo wakuu...
beki yanga hazijaelewana hasa kati