CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Ndo kandambili hawa, ukihesabu "what a miss" leo ni sawa na zile lal la lallallal dah goal kick wakati mpira upo katikati wa uwanja. Ongezea zile headings za Kocha wa Yanga aja na fomesheni za kutisha, au next year ubingwa wa Africa...ohhh sasa kama Brasil....ndo utagundua bora wangecheza Urafiki cup akawajua vizuri players...! Hata wakati wa Kondric ilikuwa hivi hivi...! Kocha mzuri anataka mechi moja tu tena na Ruvu Stars...? loooooooooooooooooool
Mbona wanacheza vizuri tu mkuu....Atletico ni wazuri sana jamaa langu,halafu,mpira ni dakika 90...

Kocha anawajua vizuri wachezaji wake mazoezini na si kwenye kombe la Urafiki.....Mechi nzuri ya kupima kikosi cha kwanza ilikuwa ni ile na JKT Ruvu......Hayo mashindano ya Urafiki yalikuwa ni ya kuganga njaa tu mkuu....Ndio maana unaona mashindano yamefanyika Zanzibar fainali inafanyikia Dar(ili wapate wapenzi wengi na fedha nyingi).......
 
Ndo kandambili hawa, ukihesabu "what a miss" leo ni sawa na zile lal la lallallal dah goal kick wakati mpira upo katikati wa uwanja. Ongezea zile headings za Kocha wa Yanga aja na fomesheni za kutisha, au next year ubingwa wa Africa...ohhh sasa kama Brasil....ndo utagundua bora wangecheza Urafiki cup akawajua vizuri players...! Hata wakati wa Kondric ilikuwa hivi hivi...! Kocha mzuri anataka mechi moja tu tena na Ruvu Stars...? loooooooooooooooooool

Urafiki Cup ni kwa marafiki kama Simba na Azam siyo kwa Yanga.
 
Hivi mtani....Ule uwanja alioahidi Rage kwa mbwembwe na wataalamu toka Uturuki umeishia wapi?.....Vipi kuhusu Simba TV?.....

Mambo ya utani hayo wakuu...
hivi Rage yuko sirous kweli! Yondani yuko ndani au yatakuwa mambo ya uzembe wa mazembe
 
safi kocha yanga amebadilisha beki jezi 14 na kuingia mwenye jezi 28
 
Back
Top Bottom