hongera wanalambalamba kazi kwenu kuingia fainali.mchezo huamuliwa kwa makosa .
Beki ya simba ilkuwa imezizubaa mno pamoja na kipa wetu Kaseja hakuwa kwenye form.Kocha wa simba nadhani atafanyia kazi makosa yote ambayo yamejitokeza kwenye michuano hii na ikiwezekana wafumue usajili wote kwa kujaza chipukizi.
Azam lazima tuwakomeshe kwenye ligi kuwa mnatukomalie watani kiasi kile ndo maana yanga waliamua kumpa kichapo refa hahaha