CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Tunomba waandishi mchukue picha ya musonye jinsi alivyo kwa sasa ha ha ha ha
 

safi sana kaka umempa ukweli!
 
Yanga=CCM...hivyo hata kuropoka kwenu kunafanana kabisa na mijitu ya pale bungeni....ulisema mechi hii itaenda matuta ukabeza mechi inayofata sasa mechi imeisha ndani ya dakika 90, unasemaje....

Nasema hv....NAOMBA NIJUZE MATOKEO YA MECHI INAYOENDELEA SASA HV,sina mawasiliano na uwanjani,tafadhali
 
Ndo maana tunawaambiaga kila siku muuzeni huyo Sunzu wenu,yaani ni mara 10 mkampa hiyo namba yake Kapombe kuliko kuendelea kuwa na yule GARASA
 
dk bado nyingi kwa timu kama simba ni lazima wapull up please
 
Safi sana kapombe tafuta namna nyoyote ile uingize la 2, na 3
 
Bado Azam 2-1 Simba dakika 58 Simba wamedamka kutoka usingizini sasa mchezo ume-balance. Bado Simba wanayo nafasi ya kushinda, wakomae tu.
 
simba wameingia kwa kasi ya ajabu kuna hatari azam wakafungwa goli la pili.
 
Bado Azam 2-1 Simba dakika 60 kadi ya njano kwa namba 24 Haruna Shamte wa Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…