CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Wewe nawe ulikuwa umeishiwa bundle maana long time no see you.
Nipo mkuu...siku hizi naogopa kucoment bcoz nina "aleji"na ban...so nimeamua kua mpole.......tangu march this year nshakula ban3 mkuu!
 
Simba wanakosa goli la wazi kabisa........Kigi Makassy
 

Tatizo letu kwa sasa ni viungo wa pembeni wenye kasi kama tuliokuwa miaka ya nyuma kama Dua Said, Mark Sirengo, Ulimboka Mwakingwe, Steven Mapunda na sasa Emmanuel Okwi ila Viungo wa dimba la chini wapo Musa Mude na Jonas Mkude, Viungo wa dimba la juu ndo wengi Mwinyi Kazimoto, Amri Kiemba, Mbiyavanga, kwa hapo unaona kama vile muunganiko wa Mwinyi Kazimoto na Viungo wengine unakosekana kama ilivyokuwa na Mafisango kwa sababu Mwinyi Kazimoto anacheza pembeni kama namba saba kwenye mechi hizi zote tatu, lakini angekuwa anapiga nane basi muunganiko ungeuona mtani.
 
Nipo mkuu...siku hizi naogopa kucoment bcoz nina "aleji"na ban...so nimeamua kua mpole.......tangu march this year nshakula ban3 mkuu!
Uwe na Adabu mkuu kama sisi, toka 2008 hakuna ban ni heshima tu mkuu na utani mdogo mdogo ambao hamfanyi mtu kuwa na hasira.
 
Naona simba watakutana na Atletico
 
Huyu Kinje inabidi afanye mazoezi kupunguza uzito.....Hana tofauti na Idrissa Rashid wa Yanga
 
Naona simba watakutana na Atletico
Mkuu matokeo yakibaki hivi hivi Atletico watakutana na VITA Club, Timu zote za Tanzania zitakutana zenyewe kwa zenyewe robo fainali.
 
dk za mwiso afadhali simba wameamuka lakini kalibia jua linazama
 
Dh.....Vita wanataka kujifunga.....lol

Penati.....Simba wanapata penati
 
Anapiga Sunzu.....

Anakosaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…