CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

ni kweli, ingekuwa vizuri tungepata nafasi ya kulipa kisasi na ingezekana, lkn oia kwa maslahi taifa ningepenga tusikutane na Azam sasa hivi ili timu zetu nne ikiwemo na Mafunzo zote ziingie nusu fainali

kwa kuwa azam wanajua basi ndio tushaingia nusu fainali kupitia mgongo wa yanga..
 
ni kweli, ingekuwa vizuri tungepata nafasi ya kulipa kisasi na ingezekana, lkn oia kwa maslahi taifa ningepenga tusikutane na Azam sasa hivi ili timu zetu nne ikiwemo na Mafunzo zote ziingie nusu fainali
Kama matokeo yataisha kwa Simba kufungwa kwenye mechi hii, hela yangu niliyopanga kwenda robo fainali inabidi nikanunulie hot chair.
 
Boban kaingia anaweza badilisha mchezo akipunguza hasira za kitoto
 
Dah!....Haruna Moshi anakosa goli.....Sunzu anachelewa
 
Kama matokeo yataisha kwa Simba kufungwa kwenye mechi hii, hela yangu niliyopanga kwenda robo fainali inabidi nikanunulie hot chair.

mimi nitanunua DOMPO kitu kutoka dodoma nijiliwaze na familia yangu
 
Tetesi kocha wa simba anaweza tupiwa vilago
 
Dah......

Simba hamna kitu jamani.......Jamaa wamewazidi kweli...

Mapengo ya Emmanuel Okwi na Hayati Patrick Mutesa Mafisango yanaonekana dhahiri....
 
kurudisha imekuwa kazi simba inabidi benchi la ufundi libadili mbinu
 
Back
Top Bottom