CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Mkuu hakuna haja ya usajili, vijana waliopo ni wazuri sana tatizo ni upangaji wa kikosi pamoja na kuacha vijana wengine kwa sababu haya mashindano ni wachezaji ishirini tu ndo walikuwa wanatakiwa.

haohao ishirini ndo walionekana BEST sasa kama wanatuangusha na hao waliosalia sizani kama wanaweza kuwa msaada mkubwa kwetu zaidi ya hawa tuliowatanguliza mkuu.
 
baada ya shabiki la yanga kuingia upande wa mashabiki wa simba acha abebwe bebwe acha...
 
Pengo la okwi na yondari dhahiri

pengo limeongezeka zaidi hasa baada ya Abdalah Juma kutoka; Sunzu anachoka amebaki peke yake labda aingie Boban anaweza kusaidia kuongeza mashambulizi.
 
Maneno machafu si jadi yangu, asante kwa yote, bahati nzuri sina mke hivyo sina haja ya kuwa na hasira na wewe kwa kauli hiyo, ninachofanya ni kukupuuza tu Mkuu.

mimi na wewe anayepuuzwa ni nani??? Embu ona jinsi watu walivyokuwa kimya ktk post hakuna mtu ambaye ame-reply isipokuwa mimi ngoja nami nikupuuze
 
Bora kucheza na Azam kuliko Atletico.

ha ha ha ha Masukeee ha ha ha ha ha hii ndio raha ya Jf na kukutana na wale wanaojua mpira,kuna jitu linasema eti tunapoteza muda kufatilia mashindano haya kisa kocha wa simba hakijui kiingereza vzr
 
haohao ishirini ndo walionekana BEST sasa kama wanatuangusha na hao waliosalia sizani kama wanaweza kuwa msaada mkubwa kwetu zaidi ya hawa tuliowatanguliza mkuu.
Mkuu utakubaliana nami kwamba upangaji wa kikosi ni tatizo pale kocha atakapobadili kikosi, sisi tunacheza bila typical winga hata mmoja kidogo leo Kigi kaingia naye kwa sababu ameingia baada ya mtu kuumia anaweza asiwe na confidence ya kutosha kuhimili mikiki ya Wakongo.
 
Bora kucheza na Azam kuliko Atletico.

ni kweli, ingekuwa vizuri tungepata nafasi ya kulipa kisasi na ingezekana, lkn oia kwa maslahi taifa ningepenga tusikutane na Azam sasa hivi ili timu zetu nne ikiwemo na Mafunzo zote ziingie nusu fainali
 
Du simba kazidiwa jamaa ni wazur

kidogo simba wanajua ila vita washajua kule upande wa namba 2 ni uchochoro ila mwenye kiduku huyo beki ni noma balaa tupu...anaejua jina lake aniambie niimpe fomu ya usajili azam..
 
Kanu Mbiyavanga ametoka, ameingia Haruna Moshi
 
kipnd cha pili kimeanza simba team tunaombea ushindi
 
Back
Top Bottom