CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Kagame Cup ikiisha Simba tuangalie upya usajiri wetu, vinginevyo ni kujipya ugonjwa wa moyo.
 
Ishakuwa balaa, hata hivyo tuna jeuri ya kucheza robo fainali.
 
Kagame Cup ikiisha Simba tuangakie upya usajiri wetu, vinginevyo ni kujipya ugonjwa wa moyo.
Mkuu hakuna haja ya usajili, vijana waliopo ni wazuri sana tatizo ni upangaji wa kikosi pamoja na kuacha vijana wengine kwa sababu haya mashindano ni wachezaji ishirini tu ndo walikuwa wanatakiwa.
 
Kuna watu huwa mnatia sana hasira khs Avatar niliiweka ila nimeitoa na sishindwi kuiweka, mi nadhani leo umekorofishwa na pengine wenzio wamekulia mke wako

Maneno machafu si jadi yangu, asante kwa yote, bahati nzuri sina mke hivyo sina haja ya kuwa na hasira na wewe kwa kauli hiyo, ninachofanya ni kukupuuza tu Mkuu.
 
Back
Top Bottom