Kuna kauli niliisoma juzi nikatamani kutafuna keyboard. Eti kanu alipangwa huku akiwa na Malaria..... ebo sasa kwa nn apangwe kama alikuwa anaumwa wakati tuna players wengine kibao ? Nimesoma hizo changes za Nyosso kuingia badala ya Kihemba so hope Kiraka kapombe either anapanda kuwa defensive midfield au hata mbele zaidi ili Kazimoto au Kanu arudi hapo katikati nyuma !!
Nyoso ameingia badala ya Haruna Shamte na Abdallah Juma ameingia badala ya Amri Kiemba, nilidhani Uhuru Selemani au Kigi Makasi angeingia badala ya Amri Kiemba na sio Abdallah Juma, lakini naona Uhuru Selemani anapasha pasha misuli yake joto labda atasaidia, Abdallah Juma alitakiwa kumreplace Sunzu.