I'm looking for Shomari Kapombe but i dont see him in the pitch!! where is he?
dk80 Simba0:URA1
Kama sikosei yupo na timu ya taifa ya vijana inayojiandaa kukiputa na NIgeria....Pamoja na akina Frank Domayo na Simon Msuva wa Yanga
Kipa wa URA ameumia..Zile faulo Maftah inabidi aangalie sana ksbb tayari ana yellow card
kipa wa URA ameumia
Simba waitumie sasa hiyo nafasi...