Huyu kipa wa URA ni soo...sunzu anajituma lakini hakuna anayefuata nyuma kumsaidia
Hii mechi tuna hali ngumu sana.
Simba wanafanya uzembe ambao wataujutia....Kaseja alitoka golini na nusura wafungwe...Maftah naye anacheza rafu katika eneo la hatari...Thank God Kaseja amepangua ile free kick...
mafunzo wanarudisha goli.. azam 1 - 1 mafunzo..