CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

CECAFA Kagame Cup 2012 - Live updates

Torch torch jamani,mwenye torch za kutosha tafadhali tuwasaidie Simba...watumie kusaka mpira
 
Mkuu nipo tena uwanjani kabisa ndo maana huoni post zangu, jana kocha nimempagia kikosi sijui kwa nini hajakitumia, kuna watu wazuri sana nje na kama kocha atawatumia basi tunaweza kufanya vizuri ila kipindi cha kwanza jamaa wamecheza vizuri kuliko sisi.

Mkuu Masuke pole Mkuu,lkn usijali sana kwasababu bado kuna dk 45 nzima
 
Sitaki kuamini kama huyu Walulya(Derick) ndo yule aliyetimuliwa na Prof Milovan ksbb ya kutokuwa na msaada katika team
 
yap kapombe na Boban na Abdalah Juma achukue nafasi ya Dany watabadilisha game .Lazima simba acheze kufa na kupona kipindi cha pili ili waondoke na ushindi
 
Sitaki kuamini kama huyu Walulya(Derick) ndo yule aliyetimuliwa na Prof Milovan ksbb ya kutokuwa na msaada katika team
Ni yeye mzee kwetu simba hakuwa anajituma kama anavyocheza leo
 
Hii mechi tuna hali ngumu sana.
Masuke usihofu uzuri tuna coah prof na wachezaji watabidika kipindi cha pili hawatakubali kulaliwa kama ilivyo kwa yanga jana
 
Sitaki kuamini kama huyu Walulya(Derick) ndo yule aliyetimuliwa na Prof Milovan ksbb ya kutokuwa na msaada katika team
wakati ule hakuna alichokua anafanya na ndo maana alitupiwa virago vyake; inawezekana alikua ana tatizo la kiufundi ambalo Prof hakuweza kuligundua.
 
Okwi kweli ni kifaa, pengo lake linaonekana.

Simba wanafanya uzembe ambao wataujutia....Kaseja alitoka golini na nusura wafungwe...Maftah naye anacheza rafu katika eneo la hatari...Thank God Kaseja amepangua ile free kick...
 
Back
Top Bottom