Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,036
Wakati serikali ya CCM ikidai kuwa watuhumiwa wasichukuliwe hatua yoyote au kuhukumiwa kwa namna yoyote hadi vyombo vya sheria vitimize kazi yake, habari zinazoingia KLH News ni kuwa Kamati Kuu imeamua kuwatosa waliokuwa wa Bunge wa Mkoani Arusha ambao walikuwa wanakabiliwa na TUHUMA ZA RUSHWA. Chama hicho tawala, hakikutaka kusubiri maamuzi ya mahakama au kuacha mchakato wa sheria ufuate mkondo wake na badala yake imeamua kuwa mtoa taarifa, hakimu, polisi, na Mnyongaji!!
Taarifa zaidi baadaye....
Taarifa zaidi baadaye....