King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,678
- 68,662
“Kamati Kuu baada ya kujadili imeielekeza Serikali kufanya uchambuzi wa kina wa masuala yaliyoibuliwa na kulalamikiwa na wafanyabiashara wa Kariakoo ili kutafuta kiini cha tatizo halisi na kuyapatia ufumbuzi wa kudumu,”imesema taarifa ya chama hicho iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu Taifa, Itikadi na Uenezi,
Zote hizo ni buying time tu ,kiini cha tatizo wafanyabiashara waliweka wazi ,kodi nyingi sana hadi nyingine zinajirudia rudia(Double taxation) ,Futeni kodi ya store ,kodi itozwe mara moja tu kwa mzigo ukiingia ,mlolongo mrefu wa kupata leseni na matozo kibao!! Kodi zinakusanywa nyingi halafu kina mwigulu wanaenda kuzipiga(mfanyabiashara alitoa maoni hayo ,akashauri wathibiti wizi ili wasiwe wanaumizwa wao kwenye kodi).