Kamanda Francis
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 834
- 140
katika hali ya kutofautisha kati ya chama cha siasa na saccos, chama cha mapinduzi kimepita bila kupingwa katika kata ya Mtae wilayani Lushoto.Uchaguzi wa marudio katika kata 27 nchini tayari ccm imeshashinda kiti kimoja asubuhi na mapema.viva ccm viva .... viva mtae viva......viva Lushoto viva....
Shangilia Upumbavu, Zimwi la Kuisaliti Chadema litawamaliza... ulivyo Pimbi kati vyama 21 nchini, hulali bila kuitaja Chadema...hiki Chama makini we pimbi thatz why ukatupiwa kapuni