Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,514
Zitto anasumbuliwa na ugonjwa wa usaliti huu ugonjwa ni mbaya zaidi ya ukimwi lazima ataenda nao hadi kaburini.Ni kweli hata mimi nimesikia. Kumbe jamaa alienda kutafuta uchawi wa kumloga Mbowe ili afe baada ya ile mbinu ya Bomu la Soweto Arusha kushindwa!