CCM yapita bila kupingwa Lushoto

CCM yapita bila kupingwa Lushoto

Mkuu

Diwani wa CHADEMA kata hiyo alishinda kura za maoni na hakuwa pekee yake!Siku ya kurudisha form ndiyo kajificha na kukawa hamna muda wa kujaza form mpya kwa mwingine!

CCM wanaweweseka sana na hata 2015 kama ulivyosema watajaribu kutumia hela kupata majimbo ya bure

Na ndo mbinu mojawapo coz tumegundua cdm huko vijijin wananjaa sana,so tunachukua ushindi kiulainii
 
Hawa jamaa ni ndugu zangu lakini ni tatizo..tunajitahidi sana kufanya harakati lakini dah..
 
Hamna shida,unafurahia kwakuwa ulifukuzwa fisadi wewe usiyependa maebdleo ya watanzania maana ccm ni wauaji wa maisha ya watanzania,na wewe umefulia tu hakuna utakachopara hapo hata upige ngoma namna gani,mzigo we

Mtaongea sana bt mwisho wa siku ccm bado itakuwa juu.
 
Vijijini waende mara ngapi na wakati sasa vijijini wanaelewa kuliko mijini kwani ndio wamepigika. Unaambiwa aliyechukua fomu alijificha/alihongwa/alitekwa sasa hapo kosa la Chama au waliomuhonga? CHADEMA chama kubwa hakiwezi kosa mikakati.

Hiyo hoja haina msingi,alijificha ili iweje,na kwanini akubali kuhongwa kama ni mwanachadema mtiifu au ndo mambulula tu na kama akitekwa kuna sheria zipo so hapo hamna sababu tatizo ni njaa za wanachadema vijijin,mnatumia resources nyingi mijin mnasahau vijijini.
 
CHADEMA ni kiboko cha magamba kila mara wanaiota CHADEMA tu.Hawalali kwa sababu ya CHADEMA.Huko Tanga inamaana hakuna vyama vingine isipokuwa ni CHADEMA tu?.

Chama cha kilaghai na magumashi lazima kishughulikiwe.
 
katika hali ya kutofautisha kati ya chama cha siasa na saccos, chama cha mapinduzi kimepita bila kupingwa katika kata ya Mtae wilayani Lushoto.Uchaguzi wa marudio katika kata 27 nchini tayari ccm imeshashinda kiti kimoja asubuhi na mapema.viva ccm viva .... viva mtae viva......viva Lushoto viva....

kwa kumteka mgombea, mbon mnajiti aibu kulia gizani nyie!
 
Ccm ya kinana lazima wale waendesha sacos waijue tu ni bonge la chama chama chenye mlengo wa kitaifa hakina watu waongo kama lisu na mnyika.
 
Kweli Tanzania siasa bado! Yaani mijitu inayoonekana imesoma inafurahi kukosa changamoto!Sasa mtajuaje kama mapungufu yenu?Hata ndani ya nyumba mkeo asipokupa changamoto wwe utaendelea tu kuwatumikia wanaume wenzako!Kitu chochote kizuri lazima kishinde vizuizi.Mijitu kutwa Chadema tu hakuna vyama vingine!Ngoja tuone kama sheria ya mgombea binafsi ipite.Muone kama watu wenye akili tutachagua mavyama yenu yenye kutugawa watanzania.Tutachagua mtu sio masera ya kilaghai ambayo hata nyie mnao ahidi hamuya amini.Kila lichama uogo tu,mitandao,ukabila,udini hakuna chama ambacho kitasema hakifanyi haya! Mnawaza kutawala tu lakini hamfikilii ni jinsi mtaondoa maadui watatu,wakati mnaongeza maadui wengine ufisadi,ukabila na udini!
 
ccm inafanya siasa za kishamba sana , bila kuteka wagombea wengine hamna ujanja , na mkae mkijua kwamba mbinu hiyo ya kizamani itawatokea puani muda si mrefu .
 
katika hali ya kutofautisha kati ya chama cha siasa na saccos, chama cha mapinduzi kimepita bila kupingwa katika kata ya Mtae wilayani Lushoto.Uchaguzi wa marudio katika kata 27 nchini tayari ccm imeshashinda kiti kimoja asubuhi na mapema.viva ccm viva .... viva mtae viva......viva Lushoto viva....
wewe gamba umerudi humu
 
Ccm ya kinana lazima wale waendesha sacos waijue tu ni bonge la chama chama chenye mlengo wa kitaifa hakina watu waongo kama lisu na mnyika.

Kweli kabisa CCM ni ya Kinana wengine ni wachumia tumbo wanajifanya wanaipenda CCM kumbe ni njaa zinawasumbuwa shida yao wapate chochote ili waweze kuishi.
 
Back
Top Bottom