Bila CCM madhubuti, Tanzania itayumba

Bila CCM madhubuti, Tanzania itayumba

Dr Adam Francis

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
703
Reaction score
1,143
IMANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI

Imani ya Chama Cha Mapinduzi imejengwa katika misingi mikuu mitatu:

1. Binadamu wote ni sawa.

2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.

3. Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.

AHADI ZA MWANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI

Kila mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi anaahidi:

1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.

2. Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote.

3. Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.

4. Rushwa ni adui wa haki; sitapokea wala kutoa rushwa.

5. Cheo ni dhamana; sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.

6. Nitajielimisha kwa kadiri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.

7. Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.

8. Nitasema kweli daima; fitina kwangu mwiko.

9. Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.
 

Attachments

  • 20260812_102946.jpg
    20260812_102946.jpg
    77.8 KB · Views: 4
CCM madhubuti haiwezi kuja kutokea! Labda ikubali kufa au iendelee kumilikiwa kinguvu na kundi la wahuni wachache wenye ukwasi na ushawishi.
 
IMANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI

Imani ya Chama Cha Mapinduzi imejengwa katika misingi mikuu mitatu:

1. Binadamu wote ni sawa.

2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.

3. Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.

AHADI ZA MWANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI

Kila mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi anaahidi:

1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.

2. Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote.

3. Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.

4. Rushwa ni adui wa haki; sitapokea wala kutoa rushwa.

5. Cheo ni dhamana; sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.

6. Nitajielimisha kwa kadiri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.

7. Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.

8. Nitasema kweli daima; fitina kwangu mwiko.

9. Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.
Naunga mkono hoja.
P
 
IMANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI

Imani ya Chama Cha Mapinduzi imejengwa katika misingi mikuu mitatu:

1. Binadamu wote ni sawa.

2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake.

3. Ujamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru.

AHADI ZA MWANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI

Kila mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi anaahidi:

1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.

2. Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote.

3. Nitajitolea nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.

4. Rushwa ni adui wa haki; sitapokea wala kutoa rushwa.

5. Cheo ni dhamana; sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.

6. Nitajielimisha kwa kadiri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.

7. Nitashirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.

8. Nitasema kweli daima; fitina kwangu mwiko.

9. Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.
Jizi na lipenda rushwa limepost
 
Back
Top Bottom