Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,959
- 30,136
Huko ndo kule tuliambiwa kuwa mgombea wa CHADEMA alItekwa kabla hajarudisha fomu?
Ndio huku Kamanda!!
Aidha mgombea wa CDM alitekwa kweli, au alihongwa ajifiche!!
Huko ndo kule tuliambiwa kuwa mgombea wa CHADEMA alItekwa kabla hajarudisha fomu?
hapana mkuu, ccm imechokwa kote nchini, wanaoifanya ccm ishinde ni chadema na vyama vingine vya upinzani kutokuwa na mpango mkakati wa kutosha, kama kuingia vijijini na kutoa elimu ya uraia!Mkuu, kumbuka maji marefu hayajaribiwi kwa kutumbukiza mguu. Utazama moja kwa moja. Ccm ni kama maji ya kina kirefu. Kama huna ubavu wa kushindana nacho, ni bora kutopoteza muda kusimamisha wagombea
Mkuu
Diwani wa CHADEMA kata hiyo alishinda kura za maoni na hakuwa pekee yake!Siku ya kurudisha form ndiyo kajificha na kukawa hamna muda wa kujaza form mpya kwa mwingine!
CCM wanaweweseka sana na hata 2015 kama ulivyosema watajaribu kutumia hela kupata majimbo ya bure
Ndo hivyo mkuu. Si amekuambia kuwa ccm imepita bila kupingwa kata ya Mtae huko lushoto? Au hupendi kusikia habari hizi?
Nanyi si mtumie tu fedha za ruzuku kushinda hivyo viti? Tatizo kwa chadema fedha zinatafunwa na wachacheMkuu
Diwani wa CHADEMA kata hiyo alishinda kura za maoni na hakuwa pekee yake!Siku ya kurudisha form ndiyo kajificha na kukawa hamna muda wa kujaza form mpya kwa mwingine!
CCM wanaweweseka sana na hata 2015 kama ulivyosema watajaribu kutumia hela kupata majimbo ya bure
Mkuu, japo umeandika vibaya, nimekuelewa. Ila, CDM wanajinasibu kweli kwa kuwa na intelijensia makini. Wqlikuwa wapi kulinda mgombea wao?Kuna uwezekano huyo diwani wa cdm akaea amenunuliwa,wati kama hao ni kuwabina tu,na nyinyi wasaliti akina mwampamba mlipaswa pia kumabinwa tu maana mnaua watanzabia indirectly.
katika hali ya kutofautisha kati ya chama cha siasa na saccos, chama cha mapinduzi kimepita bila kupingwa katika kata ya Mtae wilayani Lushoto.Uchaguzi wa marudio katika kata 27 nchini tayari ccm imeshashinda kiti kimoja asubuhi na mapema.viva ccm viva .... viva mtae viva......viva Lushoto viva....
Kwani chadema wana fedha? Me nachojua kuna saccos ya akina Mtei, Mbowe na Dr SlaaMpango mkakati mzuri ni ushindi kupitia sanduku la kura, au unataka Chadema nao waanze kununua wagombea?
Intelijensia ya chadema itatupa jibuNdio huku Kamanda!!
Aidha mgombea wa CDM alitekwa kweli, au alihongwa ajifiche!!
Yaani we kiazi huonekani hadi kipindi cha uchaguzi ndo unajipitisha pitisha? Safari hii sidhani kama watakuchukua kupiga kampeni japo kwenye kata hata moja maana mtihani wa kwanza ilikua ni Arusha na ukapata F za kutosha tu.
Kwani Mbowe naye ni mtu? Mtu akitopea kwa uzinzi hata sifa ya kuwa mtu inapotea. Kwa sheria za kiislam ni kumtandika mawe mpaka afe. Huyumni mtu mfuTulia we ngeda kila siku unamjadili Freeman hatusemi au yeye ni picha ya mtu?
Chadema wakiendelea kulea mchezo huu mwaka 2015 kata na majimbo mengi ccm itashinda hivohivo! Tatizo la chadema hawana mipango ya dhati ya kukamata dola, hawaingii vijijini, huishia mijini! Na nguvu kubwa imeelekezwa upande mmoja wa taifa letu! Kwa mfano mikoa ya kusini kama ruvuma dr. Slaa hajawahi kufanya ziara ya kichama hata siku moja, zaidi ya kuja mwaka 2010 kuomba kura za urais! Naanza kuamini kuwa ccm wataendelea kuongoza taifa hili kwa muda mrefu ujao!
Ni kweli hata mimi nimesikia. Kumbe jamaa alienda kutafuta uchawi wa kumloga Mbowe ili afe baada ya ile mbinu ya Bomu la Soweto Arusha kushindwa!
Alipata Division five (5) ya waziri Kawa mbwa.