CCM yapasuka? Kinana ang'atuka...

Kavunja kamati ya kampeni rasmi.Pengine hajasema alivyokereka na kuomba kila sent kwa prince kwa kipindi chote cha kampeni.Halafu leo ndio najikuta akitakiwa jikomba NEC wakati teammates wake wakichuku nafasi NEC.
Kusema ukweli hata mimi nashangazwa sana,hivi mkuu unadhani ni kitu gani watakachofanya?Inawezekana Kinana yupo kwenye kambi ya tofauti na mtoto wa JK na FL?Maana mtu alikuwa kwenye kampeni ya mzee wake halafu wamletee mizengwe?inaonekana haziivi kwasababu hiyo.Yani amemeneji kampeni ya mzee wao,lakini wao wanapita bila kupingwa na yeye zengwe!

Halafu kumbe alikuwa akichukuwa pesa kutoka kwa mtoto wa JK?Duuh!No wonder amesema hayo.

Nakubaliana na wengine kuwa there is something going on kwasababu Nape analeta habari za kutokugombea,lakini hasemi hayo ya barua,sasa uko aliko,natamani Kinana azime simu yake maana watakuwa wanamtafuta halafu utashangaa barua inadraftiwa upya,ama hata kusema haikuwepo,sasa hata Nape hataki kusema maneno hayo ya Kinana kama alimsikia akiyazungumza ama ameyaona kwenye barua.

Hivi mkuu huyu Kinana yupo kundi gani kati ya hayo ya kina EL vs Sitta na wengineo?Pia kundi la mtoto wa JK ni lipi?
 
absolutely you are the great thinker.....
 
Hivi Kinana amejiuzulu ama kung'atuka kitu gani?Alikuwa ana madaraka gani ndani ya chama hadi usawa huu?Msaada tutani tafadhali.


View attachment 65850

Ukisoma hizi pics..ndio utaona jinsi CCM ni chama cha hovyo.Na ukiwa na kumbukumbu ya magazeti kipindi cha myuma utaona jinsi uswahiba wa msomali na the first family unalivyosuasua.Sijui ile Saigon ya pale Arusha mtaa wa Pangani hadi Bondeni ita react vipi?game limekwisha bao wamepigwa.Hakuna tena umuhimu wao,kwani hakuna tena haja ya kuahidi wala kutimiza.
 
Me naomba hiyo barua iwekwe hapa ndani najuwa watu wanayo.......

Achana na barua hiyo wakati uthibitisho ni huu hapa wa Nape. Ukiona Vuvuzela anahaha kuzima ukweli ujue mambo mazito kweli kweli huko mjengoni.

 

Soon developing story itanenepa kwa haraka sana.Ndani ya NEC waliopigika ni wengi ,roho zinawauma hawawezi vumilia JF ndio pekee inaweza kuwa last hope.Wakipata chance kidogo tuu hata ya kwenda msalani simu zao zitatuma kitu, km si baada ya kusikia mgazeti ya kesho yanavyowaumiza wengine roho na kuwapa kiburi wengine,basi itakuw ani ile tabia yao ya kutaka jifanya kuwa uongozi bora ni kujua matukio.
 
Kulikuwa na maneno ya mitaani kuwa baada ya kampeni aliahidiwa kupewa kiwanja pale kamata alichokifanya yadi ya kampuni (sijui yake) ya Usafirishaji.

Udaku unajuza zaidi kuwa baadhi ya fungu la pesa halikumfikia baada ya wamiliki wa chama kulidaka likiwa hewani, na alipojaribu kudai kwa mwenye jamuhuri aliambiwa awaone haohao wamiliki wa chama, inatajwa kuwa alinuna sana na sasa kama vile yametimia tu.

Huu ni udaku kutoka kwa nzi aliyekaribu na Mzee Kinana.
 
Kuna juhudi kubwa sana za kuficha kile kinachoendelea ndani ya chama. Juzi tu Sitta katamka kwamba chama inabidi kizaliwe upya. Chama hakiwezi kuzaliwa upya wakati kuna makundi chungu nzima yanayopingana huku kila kundi likiwa na mtu wake ambaye kundi lingependa aingie kweye kinyang'anyiro cha 2015. Hali ni mbaya sana na pesa za mafisadi zinafanya kazi usiku na mchana katika makundi hayo ili kuhakikisha kundi lao wanashika hatamu ndani ya chama na hivyo kujiweka katika nafasi nzuri kuelekea uchaguzi wa 2015. Mficha ugonjwa kifo kitamuumbua...jitihada zao za kuyaficha yale yanayojiri ndani ya chama chao kamwe hazitafanikiwa.

 
Habari sio za ukweli (take from me )
Bila kuweka source inakuwa tabu.
Halafu kuna watu wanajadili!!!
Jf sasa ni kijiwe cha porojo...Mods ondoen huu ujinga hakuna ukweli wowote
habar walakin!
Hizi hbari sio za kweli anatupima huyu aliyeleta hii thread. aweke source kama kweli
I'll be the last person to believe this!
Ngumu kumeza
thread yangu kuhusu kuwasahihisha chadema imefutwa mda sio mrefu...hapa zinaletwa porojo za bavicha zitawekwa hadi sticky...alafu ndio mnataka tuwaachie nchi na upendeleo wenu wa kichaga.
Kinana huyuhuyu aliekua meneja kampeni wa jk 2010 leo atangaze kujiuzuru tena na kashfa kwa familia ya jk.. Huu ni uongo uliochacha.!!
Pumba hizi...Peleka Lumumba sio hapa
Asante sana AL sadat, hivyo ndivyo JF ilivyoweza kujijengea heshima na umaarufu...yaani kuwa source ya breaking news kabla ya wengine kudandia. Tatizo ni kwamba hivi sasa kuna watu, kama hao hapo juu, wamedandia JF bila kufanya hata kautafiti kadogo kujua kwa nini JF ni JF...ona sasa wanavyoumbuka! Habari ikiletwa JF, jiulize mara mbili kabla ya kuirukia kama walivyofanya hawa jamaa zetu hapo juu...JF iko pote hadi vyumbani mwenu! Wasio na akili wanafikia hata kuihusisha Chadema na hizi kukuru kakara za kunyang'anyana tonge mdomoni ndani ya chama cha walafi, manyang'au yanaanza kutafunana yenyewe kwa yenyewe, aibu yao...na bado!
 
nguruvi,kumbe hilo la kurudi kwa kupitia ukatibu lilishazungumzwa?
BTW kuna wale watetezi wakubwa wa magamba humu ambao siwaoni kabisa,nadhani ni wahusika wakuu kwenye hivyo vikao,sitaki kuwataja majina,lakini siwaoni kabisa.
 
Katika picture ni rahisi kuona mwenyekiti na rais alivyo kila kitu katik CCM.mkuu wa kaya alikuwa anataka chapa mtu ngumi..6 yuko mbali kama mtoto anayeshudia mama yae akiliwa na simba usiku na hajui pa kukimbilia(6 hafai ktk matatizo kam ailibyo kwa malecela), pinda kwa nafasi yake alipaswa kuwa kama Putin na kuchukua control hapo,ila kawa kama Medvedev, huyu mpare prof Maghembe..si rahisi kujua alipo kwani anasubiri atoke hapo akawatukane wapare wote kuwa ni wajinga na hawajasoma.Waziri mhusika kama anajitetea asikilizwe kabla ya kichapo, au tishio la kupigwa nje.I like JF members kwa kuchukua pics
 
Mag3 nakushukuru sana kwa kuwaweka hawa wadandiaji wote pamoja maana huwa nakereka sana pale mtu asiyejua anapojifanya anajua zaidi. Wanabisha kuwa ni uongo wakati huo ukweli hawausemi. Inabidi watu wafikirie kabla ya ku-judge na kudai source. kwani alyeweka uzi sio source? By the way, sources wengine huwa hawatamkwi, siwezi kusema nimeambiwa na Jack Zoka (mfano tu). hapa sasa wameambuulia kuvuna aibu baada ya Nape kuthibitisha. Shame on them all.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu Pasco,huna tena haja ya kunijibu kuhusu Kinana na EL,samahani kwa usumbufu...
BTW JK na EL ni kweli hawakukutana barabarani.Jamaa style yake huwa inanishangaza sana,ndo maana alikuwa akiunda kamati na tume za uchunguzi,alikuwa akiwachanganya mafisadi na wale wanaowapigia kelele,so go figure.Ila hayo yana mwisho kwasababu unafiki una mwisho,kuna siku utaumbuka tu,kwa mfano hivi sasa yani nasubiri nione wataplay game gani tena.Ndo ile maneno ya presha inapanda,presha inashuka ina make sense hapa.
 
can we put the link to that thread ya uzushi? li mambo yaende vizuri bin mswano
 

AL sadat
Mwana Mpotevu
Ieleweke kuwa watu hatubishi, kinachotakiwa katika uandishi mtu jitahidi kueleza source ya habari iwe kama ni kama mojapo ya:
  • Tetesi toka mjengoni
  • Mhusika toka mjengoni katipa tip
  • Habari zilizovuja toka mjengoni
  • Taarifa toka kwa Nape
  • Nukuru kutoka chombo cha habari
  • Nk.
Hata kama chanzo kamili hakija kamilika inatupa fursa ya kuijadili huku tukiwa na tumaini fulani kuwa habari itakuja kamilika lakini tunaweza kujadili.

Habari hii ilivyoletwa haikuwa kamili hasa kuelezea wapi alikopata taarifa hizo ingawa habari yenye ina mvuto sana.
Tunapojaribu kuelezea hayo ni kwa nia njema ya kuelimishana, nafasi nyingine anapoleta habari iwe kamili au breaking news walao iwe na information za source.

That's all what we'r talking about.

Tujitahidi kuipa Jamii Forums hadhi stahiki kama moja ya source kubwa ya habari hapa nchini.
 
dot..zitaanza ungana vyema na baadaye watu wanaanza eliminate unnecessary links na kubakiwa na bigger picture with no blur.Nape akirudi anakuta majibu ya mbele ya hiyo single yake.Itambidi arudi tena studio kutengeneza nyingine ya fastafasta.Atakuwa behind the schedule kwa muda wote wa shughuli ndani ya CCM.
 

Ieleweke kuwa watu hatubishi, kinachotakiwa katika uandishi mtu jitahidi kueleza source ya habari iwe kama ni kama mojapo ya:
  • Tetesi toka mjengoni
  • Mhusika toka mjengoni katipa tip
  • Habari zilizovuja toka mjengoni
  • Taarifa toka kwa Nape
  • Nukuru kutoka chombo cha habari
  • Nk.
Hata kama chanzo kamili hakija kamilika inatupa fursa ya kuijadili huku tukiwa na tumaini fulani kuwa habari itakuja kamilika lakini tunaweza kujadili.

Habari hii ilivyoletwa haikuwa kamili hasa kuelezea wapi alikopata taarifa hizo ingawa habari yenye ina mvuto sana.
Tunapojaribu kuelezea hayo ni kwa nia njema ya kuelimishana, nafasi nyingine anapoleta habari iwe kamili au breaking news walao iwe na information za source.

That's all what we'r talking about.

:msela:Tujitahidi kuijengea hadhi yake JF kama source ya kuaminika katika vyombo vya habari:msela:
 
Achana na barua hiyo wakati uthibitisho ni huu hapa wa Nape. Ukiona Vuvuzela anahaha kuzima ukweli ujue mambo mazito kweli kweli huko mjengoni.

Yeah mkuu wangu nimekupata vizuri sana, na kweli nimeona jamaa ameingia humu ndani straight na kuja kutetea hoja, na siku zote huwa anatetea ujinga huyu mtu, me nataka waendelee kuvurugana tu ndio vizuri.
 
Nashukuru kwa kujitokeza haraka kuweka kumbukumbu sawa katika jukwaa hili.

Kutokana na chama chenu kilivojaa hila, uwongo, mbinu chafu, wizi, ufisadi u-kolimba nk chochote kinachosemwa na makada wenu hakuna anayeamini ni cha kweli au kinatoka rohoni!Kifupi CCM imekosa credibility mbele ya umma, mfano hata wewe mwenyewe bungeni mishipa ilikutoka ukipigania swala la kigamboni hadi ukafukuzwa nje ya bunge leo hii upo unaitetea ccm hiyohiyo!!shame on you sijui wewe doctor wa nn??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…