This i plain truth, emotion huwa hazizuii jambo kutokea! kuna wakati huwa watu wakisema ukweli wanatukanwa humu na kuonwa mafisadi au wajinga!
Chadema kama vyama vingine , tafadhali msisubiri dakika za majeruhi ili muonekane kwa wananchi, wananchi wanatakiwa wawa -'feel' nyie.
Ushindi ni ushindi tuu, 'The Winner Takes it All, the looser standing small' ni wimbo wa ABBA.
Lazima tuipongeze CCM kwa ushindi wa kishindo.
Nimehudhuria kampeni na kushuhudia upigaji kura. aminini msiamini, CCM imeshinda sio kwasababu inapendwa sana, bali vijijini bado wamelala, mimi ni Msukuma niliyezaliwa na kukulia mjini. Kitendo na kurudi vijijini na kushuhudia jinsi literacy level ilivyo kubwa kimenisikitisha na kunihuzunisha. Asilimia kubwa ya ndugu zangu hawajui kusoma wala kuandika na hizo kura imebidi wapigiwe.
Hii ignorance level CCM wameitumia to their advantage. Siwatukani Wasukumu, ili tumethibitisha ujinga, sisi sio watu wa fujo ila sio siri Wasukuma wa vijijini, tumelala mno!.
Inahitajika civic education ya ukweli kuwafanya mamilioni ya Watanzania wanaoichagua CCM bila kujua wanachagua nini. Pia kuna sisi tunaoichagua CCM kwa sababu hakuna mbadala. Baada ya kuhudhuria kampeni za Chadema jana pale Katoro, nikasema kama CCM itashinda, basi wanaKatoro ni vichaa au wamelogwa.
Chadema imethibitisha inaweza kuwa chama mbadala, Watanzania waliolala wanazidi kuamka na wale wajinga wanazidi kuelimika.2010 will never be the same, japo sio anguko kuu la CCM, but the going gets tough na mabadiliko yanakuja.
Wenzetu ilio mbali, Geita isikieni hivyo hivyo, ndio wilaya yenye utajiri mkubwa wa dhahabu kuliko wilaya zote. Kwa kifupi ndio wilaya tajiri zaidi Tanzania mzima, lakini watu wake ni masikini wakutupwa!. Nyumba za nyasi ni nyingi kuliko nyumba za bati!.
Watoto wanasura za kutilisha huruma, Wakinamama sura za kukatisha tamaa, kinababa sura za mashaka, dada poa Geita buku, buku mbili, ukitoa dala anataja kuhamia! Unagusa tuu, kwisha hata hujasema!, kama ni kwenu unaweza kulia
Hiyo ndiyo Geita iliyozungukwa na Geita Gold Mine, upande mwingine Bulyanhulu, upande mwingine Buzwagi, upande mwingine Kahama Gold Mine, hivi kuna sababu kweli ya Geita kuzama kwenye lindi la Umasikini?. Yote hayo wameambiwa ni kazi nzuri ya CCM na bado mnawachagua kuyaendeleza kisa
wasukuma ni masikini jeuri, umasikini ni jadi yetu, utajiri hatuujui and you can never miss something you have never had.
Wasukuma bado wamelala, wakiamka, walioamka watalala 2010!.
Naomba nikatishie hapa nisije ishia kulia bure...
Kidumu Chama Cha Mapinduzi ....
Ushindi ni ushindi tuu, 'The Winner Takes it All, the looser standing small' ni wimbo wa ABBA.
Lazima tuipongeze CCM kwa ushindi wa kishindo.
Nimehudhuria kampeni na kushuhudia upigaji kura. aminini msiamini, CCM imeshinda sio kwasababu inapendwa sana, bali vijijini bado wamelala, mimi ni Msukuma niliyezaliwa na kukulia mjini. Kitendo na kurudi vijijini na kushuhudia jinsi literacy level ilivyo kubwa kimenisikitisha na kunihuzunisha. Asilimia kubwa ya ndugu zangu hawajui kusoma wala kuandika na hizo kura imebidi wapigiwe.
Hii ignorance level CCM wameitumia to their advantage. Siwatukani Wasukumu, ili tumethibitisha ujinga, sisi sio watu wa fujo ila sio siri Wasukuma wa vijijini, tumelala mno!.
Inahitajika civic education ya ukweli kuwafanya mamilioni ya Watanzania wanaoichagua CCM bila kujua wanachagua nini. Pia kuna sisi tunaoichagua CCM kwa sababu hakuna mbadala. Baada ya kuhudhuria kampeni za Chadema jana pale Katoro, nikasema kama CCM itashinda, basi wanaKatoro ni vichaa au wamelogwa.
Chadema imethibitisha inaweza kuwa chama mbadala, Watanzania waliolala wanazidi kuamka na wale wajinga wanazidi kuelimika.2010 will never be the same, japo sio anguko kuu la CCM, but the going gets tough na mabadiliko yanakuja.
Wenzetu mlio mbali, Geita isikieni hivyo hivyo, ndio wilaya yenye utajiri mkubwa wa dhahabu kuliko wilaya zote. Kwa kifupi ndio wilaya tajiri zaidi Tanzania mzima, lakini watu wake ni masikini wakutupwa!. Nyumba za nyasi ni nyingi kuliko nyumba za bati!.
Watoto wanasura za kutilisha huruma, Wakinamama sura za kukatisha tamaa, kinababa sura za mashaka, dada poa Geita buku, buku mbili, ukitoa dala anataja kuhamia! Unagusa tuu, kwisha hata hujasema!, kama ni kwenu unaweza kulia
Hiyo ndiyo Geita iliyozungukwa na Geita Gold Mine, upande mwingine Bulyanhulu, upande mwingine Buzwagi, upande mwingine Kahama Gold Mine, hivi kuna sababu kweli ya Geita kuzama kwenye lindi la Umasikini?. Yote hayo wameambiwa ni kazi nzuri ya CCM na bado mnawachagua kuyaendeleza kisa
wasukuma ni masikini jeuri, umasikini ni jadi yetu, utajiri hatuujui and you can never miss something you have never had.
Wasukuma bado wamelala, wakiamka, walioamka watalala 2010!.
Naomba nikatishie hapa nisije ishia kulia bure...Kidumu Chama Cha Mapinduzi ....
Nichukue fursa hii kukipongeza CCM,wameonesha namna gani uzoefu na mtandao wa mashina mijini na vijijini unasaidia hata katika wakati mgumu...
Ushindi huu unatokana na umoja uliooneshwa ndani ya chama .....haasa baada ya kuweka kando umtandawo na kurejesha nguvu za kichama ...kazi iliyofanywa na John malecela ,anne, Na nguvu kubwa aliyoleta John magufuli ...wakati wa lala salama si ya kubeza hata kidogo...
ZAIDI tuwapongeze CHADEMA na kuzidi kuwatia moyo...HAWAJASHINDWA ..huu ni ushindi kwenye safari ndefu...watanzania tunahitaji chama kama chadema...hili hata mwalimu nyerere alilioona na alitabiri wakati huo chadema hawakuwa hata na mbunge mmoja kuwa CHADEMA kitakuja kuwa chama mbadala ....inakuwa kweli!!!......shime chadema wasikate tamaa walk up and walk head straight to biharamulo...kwaani mnapanda mbegu za uamsho kwa watanzania!!
CUF ...hawakunifurahisha saana hasa kwa kushindwa pale magogoni...kwani tofauti ya kura 1,000 kwa zanziba ni kubwa sana....na ukizingatia nguvu za CUF pale...lakini pia wajipange kwani wete patakuwa na uchaguzi soon na ccm wanataka kuwa surprise pemba!!!!
Wapinzani kwa ujumla wamenisikitisha kwa namna wanavyopingana...silaha kuu ya ccm...haswa unapokuta wote badala ya kushambulia adui yao mkuu ccm...wanatumia muda mrefu kuishmbulia CHADEMA....Sijui wanamaanisha niini!!!
Nichukue fursa hii kukipongeza CCM,wameonesha namna gani uzoefu na mtandao wa mashina mijini na vijijini unasaidia hata katika wakati mgumu...
Ushindi huu unatokana na umoja uliooneshwa ndani ya chama .....haasa baada ya kuweka kando umtandawo na kurejesha nguvu za kichama ...kazi iliyofanywa na John malecela ,anne, Na nguvu kubwa aliyoleta John magufuli ...wakati wa lala salama si ya kubeza hata kidogo...
ZAIDI tuwapongeze CHADEMA na kuzidi kuwatia moyo...HAWAJASHINDWA ..huu ni ushindi kwenye safari ndefu...watanzania tunahitaji chama kama chadema...hili hata mwalimu nyerere alilioona na alitabiri wakati huo chadema hawakuwa hata na mbunge mmoja kuwa CHADEMA kitakuja kuwa chama mbadala ....inakuwa kweli!!!......shime chadema wasikate tamaa walk up and walk head straight to biharamulo...kwaani mnapanda mbegu za uamsho kwa watanzania!!
CUF ...hawakunifurahisha saana hasa kwa kushindwa pale magogoni...kwani tofauti ya kura 1,000 kwa zanziba ni kubwa sana....na ukizingatia nguvu za CUF pale...lakini pia wajipange kwani wete patakuwa na uchaguzi soon na ccm wanataka kuwa surprise pemba!!!!
Wapinzani kwa ujumla wamenisikitisha kwa namna wanavyopingana...silaha kuu ya ccm...haswa unapokuta wote badala ya kushambulia adui yao mkuu ccm...wanatumia muda mrefu kuishmbulia CHADEMA....Sijui wanamaanisha niini!!!
Nichukue fursa hii kukipongeza CCM,wameonesha namna gani uzoefu na mtandao wa mashina mijini na vijijini unasaidia hata katika wakati mgumu...
Ushindi huu unatokana na umoja uliooneshwa ndani ya chama .....haasa baada ya kuweka kando umtandawo na kurejesha nguvu za kichama ...kazi iliyofanywa na John malecela ,anne, Na nguvu kubwa aliyoleta John magufuli ...wakati wa lala salama si ya kubeza hata kidogo...
ZAIDI tuwapongeze CHADEMA na kuzidi kuwatia moyo...HAWAJASHINDWA ..huu ni ushindi kwenye safari ndefu...watanzania tunahitaji chama kama chadema...hili hata mwalimu nyerere alilioona na alitabiri wakati huo chadema hawakuwa hata na mbunge mmoja kuwa CHADEMA kitakuja kuwa chama mbadala ....inakuwa kweli!!!......shime chadema wasikate tamaa walk up and walk head straight to biharamulo...kwaani mnapanda mbegu za uamsho kwa watanzania!!
CUF ...hawakunifurahisha saana hasa kwa kushindwa pale magogoni...kwani tofauti ya kura 1,000 kwa zanziba ni kubwa sana....na ukizingatia nguvu za CUF pale...lakini pia wajipange kwani wete patakuwa na uchaguzi soon na ccm wanataka kuwa surprise pemba!!!!
Wapinzani kwa ujumla wamenisikitisha kwa namna wanavyopingana...silaha kuu ya ccm...haswa unapokuta wote badala ya kushambulia adui yao mkuu ccm...wanatumia muda mrefu kuishambulia CHADEMA....Sijui wanamaanisha niini!!]!
PM, hili ndiyo tatizo kubwa la vyama vya upinzani na sijui kwa nini hawalioni miaka nenda miaka rudi. Wako radhi watumie nguvu zao nyingi kuishambulia CHADEMA badala ya kuishambulia CCM. Na sijui kwanini vyama vya upinzani hawataki kusikia wito uliotolewa kwao na Watanzania mbali mbali ndani na nje ya nchi wa umuhimu mkubwa wa vyama hivyo kuungana na hatimaye kuunda chama kimoja chenye nguvu ili kupambana na CCM katika kila kona ya nchi. Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga pia aliwapa nasaha kwamba ili kuishinda CCM inabidi waunganishe nguvu na kuunda chama kimoja lakini ushauri ule wala hawakuufanyia kazi. Ubinafsi wa vyama vya upinzani utaisadia CCM kushinda katika chaguzi nyingi zijazo mpaka hapo Wapinzani watakapoamka na kuuweka pembeni ubinafsi huo.
Ushindi ni ushindi tuu, 'The Winner Takes it All, the looser standing small' ni wimbo wa ABBA.
Lazima tuipongeze CCM kwa ushindi wa kishindo.
Nimehudhuria kampeni na kushuhudia upigaji kura. aminini msiamini, CCM imeshinda sio kwasababu inapendwa sana, bali vijijini bado wamelala, mimi ni Msukuma niliyezaliwa na kukulia mjini. Kitendo na kurudi vijijini na kushuhudia jinsi literacy level ilivyo kubwa kimenisikitisha na kunihuzunisha. Asilimia kubwa ya ndugu zangu hawajui kusoma wala kuandika na hizo kura imebidi wapigiwe.
Hii ignorance level CCM wameitumia to their advantage. Siwatukani Wasukumu, ili tumethibitisha ujinga, sisi sio watu wa fujo ila sio siri Wasukuma wa vijijini, tumelala mno!.
Inahitajika civic education ya ukweli kuwafanya mamilioni ya Watanzania wanaoichagua CCM bila kujua wanachagua nini. Pia kuna sisi tunaoichagua CCM kwa sababu hakuna mbadala. Baada ya kuhudhuria kampeni za Chadema jana pale Katoro, nikasema kama CCM itashinda, basi wanaKatoro ni vichaa au wamelogwa.
Chadema imethibitisha inaweza kuwa chama mbadala, Watanzania waliolala wanazidi kuamka na wale wajinga wanazidi kuelimika.2010 will never be the same, japo sio anguko kuu la CCM, but the going gets tough na mabadiliko yanakuja.
Wenzetu ilio mbali, Geita isikieni hivyo hivyo, ndio wilaya yenye utajiri mkubwa wa dhahabu kuliko wilaya zote. Kwa kifupi ndio wilaya tajiri zaidi Tanzania mzima, lakini watu wake ni masikini wakutupwa!. Nyumba za nyasi ni nyingi kuliko nyumba za bati!.
Watoto wanasura za kutilisha huruma, Wakinamama sura za kukatisha tamaa, kinababa sura za mashaka, dada poa Geita buku, buku mbili, ukitoa dala anataja kuhamia! Unagusa tuu, kwisha hata hujasema!, kama ni kwenu unaweza kulia
Hiyo ndiyo Geita iliyozungukwa na Geita Gold Mine, upande mwingine Bulyanhulu, upande mwingine Buzwagi, upande mwingine Kahama Gold Mine, hivi kuna sababu kweli ya Geita kuzama kwenye lindi la Umasikini?. Yote hayo wameambiwa ni kazi nzuri ya CCM na bado mnawachagua kuyaendeleza kisa
wasukuma ni masikini jeuri, umasikini ni jadi yetu, utajiri hatuujui and you can never miss something you have never had.
Wasukuma bado wamelala, wakiamka, walioamka watalala 2010!.
Naomba nikatishie hapa nisije ishia kulia bure...
Kidumu Chama Cha Mapinduzi ....
- Mkuu PM umesikika sana tena kwa masikio makubwa sana, leo nilipomuona Muungwana aliniambia "..safari hakukuwa na dosari kaka, ushindi saafi...", sasa kwa haya maneno yako nimeamini kwamba finally CCM imeshinda bila mizengwe wala kuiba kura, wewe na Mkulu Mwanakijiji mkikubali, basi inatosha, maneno yako mengi hapo juu ni siasa nzito sana zinazojali masilahi ya taifa.
- Ni kweli bila Chadema, CCM na serikali yake wangekuwa ni usingizi mzito, lakini mpaka kuwaleta wote huko Busanda, tena kwa kuwakimbiza mafisadi na mtandao, basi Chadema mbarikiwe sana na Mungu aibariki Tanzania.
Respect.
FMES!
Kwa mara nyingine tena, Chama cha Mapinduzi kimeonesha uwezo wake wa kushinda kura kwa mkakati (strategy). Wapinzani somo hili bado hawajalimudu. Huwezi kushinda uchaguzi kwa kuhutubia. Mara zote kwenye chaguzi aidha nguvu zinatumika au mkakati.
Katika hili CCM bado wana ujuzi na uzoefu wa muda mrefu.
Wakati huo huo hata hivyo tutambue pia kuwa Chadema imeonesha nguvu kubwa huko, tatizo ni je watajenga kutoka hao 21,000? Nitaandika ukosoaji wangu wa wazi baadaye.
Ushindi ni ushindi, CCM imejistahilisha ushindi kwa kujua nini cha kufanya. Kuzomea, kushangilia, kukimbilia helikopta kamwe hakushinda uchaguzi; ni mkakati tu na zaidi ya yote kujiandikisha.
Hili la kujiandikisha nalo ni jambo jingine ambalo linaathiri sana chaguzi hizi; binafsi ningeona ni vyema sana panapotokea uchaguzi mdogo, basi muda wa kujiandikisha kupiga kura nao uongezwe na wananchi wapya wapewe nafasi ya kujiandikisha.
CCM inastahili pongezi zote!
Kosa walilofanya wanabodi wengi ni ku-underestimate ujinga wa watu wa Busanda. Hivi kweli inamake sense after what all they have been through , they are still electing CCM . These people are living in the 16 century ;no power, poor education system for their kids but still they are embracing CCM. This is totally insane na ndio maana nasema hivi watu wa kwenye hii forum wanarepresent 0.0001 ya mawazo ya watanzania. Ndugu zetu wengi bado wamelala inabidi wapewe elimu ya uraia kabla ya kuruhusiwa kupiga kura. Kama tungekuwa na watu asilimia 30, wenye mawazo kama ya JF , trust me CCM would have been eliminated longtime ago.