CCM yakata tamaa, yajipanga upya

CCM yakata tamaa, yajipanga upya

Andika vizuri basi kama mtu uliyesoma kkk! Jina lako linaakisi elimu yako kwa 100% kwa maana nyingine huyo pole kaangukia pua yambidi awatafute vijana wasomi wamsaidie ila naye asiwahadae kuwaajiri bali awaajiri.
Naamini sasa kuwa ukimwona mshabiki wa ccm ni lazima awe kilaza.
Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
 
Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
Mko kikazi zaidi mnafanya nini?
Acha uzombi kijana kalime ulishe familia
Serikali yako imewapa ganzi raia wake
Hamna jipya.
Pole..naona unajitekenya na kujichekesha
 
Kama ccm mkobusy na kazi na mnakili hamna muda na mitandao apa mnaingiaje? Mbona hamuishi vituko na viojaa?Nsha wachoka mie.
 
Yaani ccm wao wanatafuta vijana wa kushinda mitandaoni ili kujibu hoja na ku criticize mashambulizi yote kwa maagizo toka lumumba. Wanaoiponda ccm ni wengi mitandaoni kwasababu kubwa zifuatazo:-
1. Vijana wengi wenye elimu ambao ndio watumiaji wakubwa wa mitamndao hawaipendi ccm na hivyo kuichukia serikali kwa hiyali yao bila maagizo
2. Watumishi wa umma ambao ndio wanaonyanyasika na viongozi wa ccm wapo mitandaoni kila wakati maana maofisini computer na internet ni free.
3. Wenye kipato wengi na ndio watu wanao jitambua na ndio walipa kodi wengi wananyanyaswa na serikali ya fisiem so hawawezi kuipenda fisiem
4. Bashite hana vyeti na bado yupo, hatuwezi kuipenda ccm.
5 mengine mengi unaweza kuendelea ....................
 
Ukweli ni kuwa Slowslow amepwaya kwenye kile kiti cha UENEZI. Kiatu kile ni kikubwa sana kwa huyu jamaa.
 
Chama cha Mapinduzi (CCM),kimekata tamaa katika kutawala mitandao ya kijamii. Kwa mujibu wa kigogo mmoja wa CCM hapa Dodoma (ambaye si Msemaji wa chama),CCM imeshindwa kupata ushawishi katika mitandao ya kijamii ikiwemo JF

Kitengo cha Itikadi na Uenezi cha CCM chini ya Humphrey Polepole,kilianzisha timu mbalimbali za vijana katika mitandao ya kijamii ili kukiuza chama. Vijana hao walisambazwa mitandaoni kwa majina halisi na bandia kwa ajili ya kuponda wapinzani na kupenda CCM.

Katika hali ya kushangaza,CCM inaendelea kupoteza ushawishi mitandaoni. Vijana maalum mitandaoni wameshindwa kutetea Ilani na kujenga hoja. Sasa wamekuwa vioja na kutumia kejeli na jeuri. Polepole amekwama.

Hivisasa,CCM inajipanga kuja kivingine katika kujipatia ushawishi na kujiandaa na uchaguzi ujao.

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Kada wa CHADEMA, huyu ni kijana wenu mzee tupa tupa ,amepotelea wapi ,au buku sama imeshuka hadi buku mbili ambazo zinaishia kwenye bando
 
Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
mkuu,kwa unadishi wako huu naona umesaidia kuipa uzito hoja ya hapo juu kutoka kwa kada mwenzio mzee Tupatupa.
kwamba kumbe ni kweli vijana wa kijani/njano hawawezi tena kuleta hoja zenye mashiko mitandaoni.
 
Chama changu kinauwawa single handedly na bastola..hadharani wakati mtu tunaambiwa sio polisi anavamia msafara,anavamia kituo cha mawingu na bado anadunda tu.
 
Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
Ni kweli utendaji wa chama chenu umetukuka sana kwa jinsi nchi ya viwanda inavyoendelea kwa kasi!
  1. Mrabaha katika gesi na madini gesi umekaaje?
  2. Utafiti wa mafuta na gesi unaendeshwaje?
  3. Kandarasi zinapewa majeshi badala ya wananchi walipa kodi ili iweje?
  4. Ubaguzi katika vyeti feki...
  5. Majipu yaliyotumbuliwa yameotea sehemu zingine (huku wengine wakilipwa mishahara bila kufanya kazi!!!
  6. Huduma kwa watoto zinalipiwa katika hospitali za serikali (tulitangaziwa ni bure!!)
  7. Elimu bure imeitwa elimu bila malipo!!
  8. Bastola kuoneshwa kama vikaragosi mitaani!
  9. Na... na.... na...
Mengi mmefanya na mnaendelea kuyafanya ili utukukaji wa kazi zenu utukuke na hakika kizazi kijacho kitawahukumu kama watanzania hawakuwahukumu
 
Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU

Kikazi zipi?
 
Chama cha Mapinduzi (CCM),kimekata tamaa katika kutawala mitandao ya kijamii. Kwa mujibu wa kigogo mmoja wa CCM hapa Dodoma (ambaye si Msemaji wa chama),CCM imeshindwa kupata ushawishi katika mitandao ya kijamii ikiwemo JF

Kitengo cha Itikadi na Uenezi cha CCM chini ya Humphrey Polepole,kilianzisha timu mbalimbali za vijana katika mitandao ya kijamii ili kukiuza chama. Vijana hao walisambazwa mitandaoni kwa majina halisi na bandia kwa ajili ya kuponda wapinzani na kupenda CCM.

Katika hali ya kushangaza,CCM inaendelea kupoteza ushawishi mitandaoni. Vijana maalum mitandaoni wameshindwa kutetea Ilani na kujenga hoja. Sasa wamekuwa vioja na kutumia kejeli na jeuri. Polepole amekwama.

Hivisasa,CCM inajipanga kuja kivingine katika kujipatia ushawishi na kujiandaa na uchaguzi ujao.

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Lizaboni hahahah
 
Kuna mwanamama anajiita cocochanel ndio think tank wa CCM!
 
Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
Kuna shule Mtwara madarasa mawili ya nyasi wanafunzi 700..hapa kazi tu
 
Back
Top Bottom