90% ya watanzania wote wanaojitambua WAMEWAPUUZA mmejaa mitandaoni uko KUZUSHA sijui mnalipwa sh.ngapi?
My friend, you have a mouth that is not attached to brain!
90% ya watanzania wote wanaojitambua WAMEWAPUUZA mmejaa mitandaoni uko KUZUSHA sijui mnalipwa sh.ngapi?
Haaa aaa ok mkuu,cocochanel ataibuka muda si mrefu!sijamuona siku hizo au alienda bungeni... nimemmis kweli
Haaa aaa ok mkuu,cocochanel ataibuka muda si mrefu!
Hebu "Crimea" tumia akili kidogo tu uone kushindwa kwa watetezi wa CCM na Serikali mitandaoni. Hivi karibuni kumekuwa na masuala mengi yanayohusisha vyombo vya usalama na matukio kadhaa: Kuvamiwa Clouds, ushahidi kuanikwa baada ya uchunguzi, hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya wavamizi pamoja na kujulikana kuwa ni Bashite na makiri kiri wake.Duh... Kwa hiyo ikiwekwa thread hapa na kuwepo na comments 300+, zote za wana upinzani basi hiyo ndio ccm wanakuwa wameshindwa?
Hivi huwa hamjifunzi kwa Lowassa jamani?
Basi ndio sehem mby watu ambao hawana elimuWakati wewe unasema hivyo
Mbeya huko matokeo yapo hivi
Matokeo ya uchaguzi kijiji Masangula Mbozi ccm Salile (98), chadema Kapesa (32).
CCM
Kule zanzibar ccm iliangukia pua ikafuta uchaguzi, c c jechaCCM Huwa haipambani vita wakati wa utekelezaji wa sera na ahadi zake kwa wananchi.ukitaka kuujua utabe wa CCM itisha uchaguzi.
Cc:chadema na Team Mangekasema
Kweli CDM sasa inalazimisha wafuasi tu maana hali ngumu sana!!Hiki chama kimebaki kulazimisha wafuas
Mh!!Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU