Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Yaan hata wewe Bashite wasema uko timamuWenye akili timamu tuko tunachapa kaziii.
Mitandaoni wapelekeeeee wanywa sembeee
Ptuuuuuuuuuu
Yaan hata wewe Bashite wasema uko timamuWenye akili timamu tuko tunachapa kaziii.
Mitandaoni wapelekeeeee wanywa sembeee
Kwa ulicho kiandika hapa na matumizi yako ya maneno ya kiswahili tumejua wewe ni wa umri ganiMbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
Unatia aibu kwa umbea wako!!Chama cha Mapinduzi (CCM),kimekata tamaa katika kutawala mitandao ya kijamii. Kwa mujibu wa kigogo mmoja wa CCM hapa Dodoma (ambaye si Msemaji wa chama),CCM imeshindwa kupata ushawishi katika mitandao ya kijamii ikiwemo JF
Kitengo cha Itikadi na Uenezi cha CCM chini ya Humphrey Polepole,kilianzisha timu mbalimbali za vijana katika mitandao ya kijamii ili kukiuza chama. Vijana hao walisambazwa mitandaoni kwa majina halisi na bandia kwa ajili ya kuponda wapinzani na kupenda CCM.
Katika hali ya kushangaza,CCM inaendelea kupoteza ushawishi mitandaoni. Vijana maalum mitandaoni wameshindwa kutetea Ilani na kujenga hoja. Sasa wamekuwa vioja na kutumia kejeli na jeuri. Polepole amekwama.
Hivisasa,CCM inajipanga kuja kivingine katika kujipatia ushawishi na kujiandaa na uchaguzi ujao.
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
mkuu uchaguzi wa kata 22 uliofanyika february ilikuwaje?thubutu!
hebu jaribu kumwambia mkuu wa nchi aitishe uchaguzi muda huu uone kama hutapotea.
nakuhakikishia uchaguzi ukifanyika sasa CCM itapotea kisiasa kama KANU kule kenya.
Habari zote za muhimu zinatokea JF...hizo habari zilizozagaa zinatokea Insta
....Think!
kauli ya kufeli....Huyu mnafki wa ufipa anawatesa nyumbuz balaa, hapa wanamuamini kwelkwel!
Hapa kazi tu lipi?? kwa kuteka kina Roma mkatoliki na kuwa kamata kina Ney hahaaaaaaaa mnafurahishaMbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
Unafanya nn hum kama ww mchapa kazi?????Wenye akili timamu tuko tunachapa kaziii.
Mitandaoni wapelekeeeee wanywa sembeee
Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
Umeonaje hii thread na ukaijibu kama hushindi humu.Tumia kichwa chako halisi kabla hujacomment lolote.Mbinu za ccm si mbinu za bavichaaa.
Mitandaoni kumejaaa umbea tyuuuu.
Vijana wa ccm tuko kikazi zaidi. nyie mnaoshinda mitandaoni mchunguzwee zaidi
Ukitutaka ccm njoo kwe nye utendaji ulio tukukaaa .na weredi wa ajabuuu.
Si si tunasema HAPA KAZI TU
Kwa hoja hizi, ndio mahana mleta mada anasema mmeshindwa na magwanda, japo kuwa Mimi naona utofauti wenu ni kama haupo.Wenye akili timamu tuko tunachapa kaziii.
Mitandaoni wapelekeeeee wanywa sembeee