CCM yakata tamaa, yajipanga upya

CCM yakata tamaa, yajipanga upya

Ha ha haaaaaaa

Unajuaga kutunga.

Like zote waliokupa ni wale wale wapiga porojo wasiopenda hapa kazi tu, ya awamu hii nzuri ambayo haijawahi kutokea nchini.
Aisee nilikuwa nimekumiss kweli!😀
Samahani nina maswali kadhaa ninayohitaji majibu yake toka kwako mpendwa;
  1. Hivi Tutegemee tija ipi kubwa toka kwa Kamishna wa TRA aliyeteuliwa sasa tofauti na aliyeondolewa Rished Bade? (Rished Bade alisema figisu na madudu ya TRA yanaanzia Bandarini tukidhibiti huko mambo yatakaa sawa. Bwana Mkubwa huyu wa sasa anasema figisu zinaanzia Kariakoo, tukidhibiti Kariakoo mambo yatakaa sawa!!! (Najiuliza wale Wakongo, Wazimbabwe, Wamalawi nk. wanaokuja kununua mizigo na kukamatwa kisha kuachiliwa baada ya siku tatu wakiwa hawana hatia je wanaweza kurudi tena kufanya manunuzi Tanzania?)
  2. Maduka ya pikipiki yamejaa Kariakoo kuna marufuku ya kuendesha pikipiki mjini kwa sababu zinachafua mazingira (lakini zinaruhusiwa kwa kulipa 150,000/= kibali!!! Je Uganda, Thailand, China, Philippines ambako kuna pikipiki nyingi kuliko Tanzania kwanini hawajazizuia?
  3. Biashara ya Mahindi kutoka Mkoa mmoja kwenda mwingine imezuiwa Je Dar es Salaam mashamba wanayolima yako wapi ili marufuku ile ifanye kazi vema?
Sihitaji kuzungumzia kandarasi na mengineyo naomba majibu ya awali katika matatizo tajwa hapo juu tafadhali.
 
CCM haijakata tamaa baada ya kukoswakoswa kushindwa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 imeamua kujijenga upya. CCM imeamua kurudi kwenye kanuni zake za kuwa chama cha wakulima na wafanyakazi, harakati za uchaguzi ndani ya ccm zimeanza hakuna dalili za wapiga dili wala watoa rushwa wakichukua fomu kugombea nafasi yeyote kwenye chama. Watanzania tulikuwa tunaishi kwa uchumi wa kudanganyana sasa huu ndio uchumi halisi fanya kazi upate kula.
Msijaribu kuibeza ccm kwani mwaka 2020 itakuwa imepiga hatua kubwa kwenye maendeleo, huwezi kufanya kampeni za kisiasa kwa kutumia matusi kwenye mitandaoni, kila mtanzania ana haki ya kumkosoa Rais kama anakosea lakini hamtamtendea haki wakati akifanya mazuri bado mnamponda.
 
Imeshapitwa na wakati,sasa tuko na fisadi wa Kivuko Kibovu,Barabara za chini ya kiwango,Lugumi,Vyeti vya Bashite na dream liner
Lugumi akija kwenu hayo madhambi mnayompaka yatapitwa na wakati pia
 
Lugumi akija kwenu hayo madhambi mnayompaka yatapitwa na wakati pia

Anzeni kumwajibisha kuanzia wa Richmond,IPTL,ESCROW Account,Makaa ya Mawe,wa kubinafsisha taasisi za Umma,Kivuko na Barabara mbovu,Lugumi halafu urudi tena,maana serikali na taasisi zote ziko chini ya CCM,chama kilichoweka Tanzania MASIKINI kwa wizi,Ufisadi na Rushwa.
 
Aisee nilikuwa nimekumiss kweli!😀
Samahani nina maswali kadhaa ninayohitaji majibu yake toka kwako mpendwa;
  1. Hivi Tutegemee tija ipi kubwa toka kwa Kamishna wa TRA aliyeteuliwa sasa tofauti na aliyeondolewa Rished Bade? (Rished Bade alisema figisu na madudu ya TRA yanaanzia Bandarini tukidhibiti huko mambo yatakaa sawa. Bwana Mkubwa huyu wa sasa anasema figisu zinaanzia Kariakoo, tukidhibiti Kariakoo mambo yatakaa sawa!!! (Najiuliza wale Wakongo, Wazimbabwe, Wamalawi nk. wanaokuja kununua mizigo na kukamatwa kisha kuachiliwa baada ya siku tatu wakiwa hawana hatia je wanaweza kurudi tena kufanya manunuzi Tanzania?)
  2. Maduka ya pikipiki yamejaa Kariakoo kuna marufuku ya kuendesha pikipiki mjini kwa sababu zinachafua mazingira (lakini zinaruhusiwa kwa kulipa 150,000/= kibali!!! Je Uganda, Thailand, China, Philippines ambako kuna pikipiki nyingi kuliko Tanzania kwanini hawajazizuia?
  3. Biashara ya Mahindi kutoka Mkoa mmoja kwenda mwingine imezuiwa Je Dar es Salaam mashamba wanayolima yako wapi ili marufuku ile ifanye kazi vema?
Sihitaji kuzungumzia kandarasi na mengineyo naomba majibu ya awali katika matatizo tajwa hapo juu tafadhali.

Kwanza naomba uniambie umeniliza mimi kama nami mwananchi au?
 
Anzeni kumwajibisha kuanzia wa Richmond,IPTL,ESCROW Account,Makaa ya Mawe,wa kubinafsisha taasisi za Umma,Kivuko na Barabara mbovu,Lugumi halafu urudi tena,maana serikali na taasisi zote ziko chini ya CCM,chama kilichoweka Tanzania MASIKINI kwa wizi,Ufisadi na Rushwa.
Wa Richmond mnaye
 
Aibu aibu chama kongwe kinahonga watu wakeshe mtandaoni kupumbaza raia puuu!!! [emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
 
Back
Top Bottom