VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Chama cha Mapinduzi (CCM),kimekata tamaa katika kutawala mitandao ya kijamii. Kwa mujibu wa kigogo mmoja wa CCM hapa Dodoma (ambaye si Msemaji wa chama),CCM imeshindwa kupata ushawishi katika mitandao ya kijamii ikiwemo JF
Kitengo cha Itikadi na Uenezi cha CCM chini ya Humphrey Polepole,kilianzisha timu mbalimbali za vijana katika mitandao ya kijamii ili kukiuza chama. Vijana hao walisambazwa mitandaoni kwa majina halisi na bandia kwa ajili ya kuponda wapinzani na kupenda CCM.
Katika hali ya kushangaza,CCM inaendelea kupoteza ushawishi mitandaoni. Vijana maalum mitandaoni wameshindwa kutetea Ilani na kujenga hoja. Sasa wamekuwa vioja na kutumia kejeli na jeuri. Polepole amekwama.
Hivisasa,CCM inajipanga kuja kivingine katika kujipatia ushawishi na kujiandaa na uchaguzi ujao.
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Kitengo cha Itikadi na Uenezi cha CCM chini ya Humphrey Polepole,kilianzisha timu mbalimbali za vijana katika mitandao ya kijamii ili kukiuza chama. Vijana hao walisambazwa mitandaoni kwa majina halisi na bandia kwa ajili ya kuponda wapinzani na kupenda CCM.
Katika hali ya kushangaza,CCM inaendelea kupoteza ushawishi mitandaoni. Vijana maalum mitandaoni wameshindwa kutetea Ilani na kujenga hoja. Sasa wamekuwa vioja na kutumia kejeli na jeuri. Polepole amekwama.
Hivisasa,CCM inajipanga kuja kivingine katika kujipatia ushawishi na kujiandaa na uchaguzi ujao.
Bastola ya nini tena jamani!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)