CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,

Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.

Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.


"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".


....................................

UPDATES:

Shida ya Yeriko ni kutokujitambua. Habari za kichadema analeta kwenye serious issues. Anajua kuwa Watz wote wanajua kuwa Lowasa yuko Dar. Kama ni kumuogopa, kwa nini wapeleke kikao Dar wakati yuko huko. Hizi habari ni worth kwa ya akili ndogo za Ufipa Street.
 
Ni kweli, ila usiseme Membe tu, CCM haina candidate tishio.
Lowassa ni kweli ana tuhuma za ufisadi, lakini jamaa ana back up ya kutosha kumpigia kampeni na kuleta ushindani wa kutosha UKAWA, wanapohaha kutafuta namna ya kukata jina lake, UKAWA ni vicheko tu..

Kama kunaweza kuwa na mazingira huru na haki mwaka huu, CCM is likely to loose the general election on october, CCM wategemee tu dola kuwanusuru, kama unadhani kuna mgombea wa CCM ambaye anaweza kupata landslide victory, niambie ni nani.

Makongoro Nyerere
 
Nilishaanza kuamini Lowassa ndie mgombea wa Wenyeviti wa CCM wa Mikoa. Hii inadhihilishwa na mapokezi makubwa ya wadhamini aliyoyapata mikoani. Sasa swali la kujiuliza wahamasishaji wakubwa walikuwa wakina nani?
 
hakuna kitu nachotamani kama hiki

lowasa akatwe na kamati kuu


baada ya kukatwa ahame ccm na wapambe wake woote


akishahama ccm kiparanganyike


kuanzia hapo tusiwe na chama tawala kibabe tena kama ca ccm

kuanzia hapo chama chochote cha upinzani kichukue nchi na kuanzia hapo tuwe tunabadilisha chama kinachotawala kama kenya

kila chama kikiingia madarakani kiwe macho kwani muda wowote kinaweza pigwa chini.


natamani ccm itoke madarakani

Utasubiri sana hilo litokee
 
Kamati kuu ya ccm baada ya sintofahamu ya siku mbili, imebadili ghafla eneo la kufanyia mkutano wao kutoka Dodoma na kwenda Ikulu Dar,

Hali hiyo inafuatia taarifa za intelijensia kuwa Lowasa na Timu yake tayari wameweka kambi Dodoma wakijiandaa kwa maandamano na kuvamia ukumbi kama shinikizo la kuzuia jina la mlalaheri Lowasa kwa pepo ya mabwege lisikatwe.

Kwahatua hii tegemea maamuzi mazito au ya kipuuzi leo, Wajumbe wamegeuza tayari Kuja dar na kikao kitafanyika Leo usiku ikulu dar.

Timu Lowasa mnaarifiwa kuwa nendeni mkaandamanie Ikulu ya magogoni ili muone hasira ya kibanga wa ubara.


"Urais Tanzania, kuanzia 25/10/2015, iwe mchana au usiku, iwe kiangazi au masika, iwe mawingu au jua kali, Dr Slaa chini ya UKAWA ndie rais wa wote, wema na wabaya".


....................................

UPDATES:

Mkuu, chama si kina ofisi zake hapo Dar? Iweje kikao cha chama hata kama ndio kiko madarakani kifanyikie kwenye Ikulu ya Nchi? Au hata huko Dodoma walitaka kukifanyia Ikulu ndogo? Naomba kuelimishwa juu ya hilo.
 
Kama watu hawana pesa ya kununua malimao mimi nitatoa malimao ya bure.... Kutoka shambani kwangu
 
Makongoro Nyerere
Makongoro Nyerere?!

Raisi wa nchi ndio head of state, ndio amiri Jeshi mkuu, namaanisha ndio mtu mwenye maamuzi ya mwisho juu ya masuala mengi muhimu ya taifa. Mtu kama huyu ni vyema tukamfahamu vizuri ili tumwamini na kumkabidhi taifa.

Nataka kujua;
Iko wapi rekodi ya utendaji uliotukuka wa Makongoro Nyerere?
Ni wapi alikoonyesha uchapakazi na maamuzi yasiyoteteleka ili tumkabidhi nchi?
Ni lini alishawahi kuchukua hatua au hata kupaza sauti tuu juu ya ufisadi ukiacha sasa Kwa vile tu Ana nia ya uraisi?
Ni kipi hasa alichonacho Makongoro hadi ukadhani anaweza kuongoza taifa letu?

Makongoro ni mtu asiyeaminika, alishawahi kuhama CCM na kugombea ubunge kupitia NCCR Mageuzi, nini kilimtoa CCM na nini baadae kikamrudisha?, je hatuwezi kufikiri kuwa ni mtu asiye na msimamo anayeangalia tu ni wapi iliko fursa?

Taifa linahitaji mtu atayeweza kilikwamua pale lilipokwama, ni yapi maono(vision) ya Makongoro ya kulikwamua taifa?
Vipaumbele vya Makongoro ni nini?, au Hana vipaumbele anasubiri ilani ya Chama itakachokisema na yeye afuate hicho?!! Je kiongozi wa aina hiyo ni kiongozi mwenye maono?

Kutokuwa na kashfa siyo sifa pekee ya kuwa kiongozi bora, anahitajika mtu anaweza kutenda, mwenye uthubutu, mwenye maono, mwenye maamuzi na asiyesita kukemea kila anachoamini siyo sahihi, Makongoro Hana sifa hizi zote!

Mwisho kabisa, Makongoro hana umaarufu au sifa yeyote Kwa wananchi zaidi ya "kusafiria nyota ya baba yake".
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Takribani ikiwa imesalia wiki moja vikao vya juu vya maamuzi ndani ya chama hicho kukaa na kupitia na hatimaye kupitishwa kwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho, tayari makundi yanayohasimiana yameanza kujipanga kukabiliana juu ya kile kinachoitwa udhaifu wa mwenyekiti katika kusimamia chama kikanuni na taratibu nyinginezo. Huku ikijulikana wazi kuwa mmoja wa wagombea tayari ameshakiteka nyara chama hicho kikongwe barani Africa, ni dhahiri sasa mwenyekiti wa CCM na Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndg Jakaya Kikwete ameshasalimu amri na kukubalia na hali halisi iliyopo na tayari amebariki kile kinachoitwa mwenye nguvu apitishwe. Huku watendaji wa chama wakijinasibu mikoani kuwa chama hakitampitisha mla rushwa au mtu mwenye kashfa, hali ni tofauti katika shughuli ya kutafuta udhamini. Huku kambi ya Edward Lowassa ikiwa tayari na uhakika wa kupitishwa katika vikao vya chama kutokana na kuwaweka mfukoni mwake takribani wajumbe wengi kuanzia CC, NEC na mkutano Mkuu, kambi nyingine zimeazimia kuungana ili kukabiliana na hali hiyo, taarifa za ndani zinaeleza kuwa Membe, Pinda, Mwandosya, Makongoro, Wassira na Sumaye tayari wamekuwa na vikao vya kujadili kuunganisha nguvu ili kukabiliana na gharika ya Lowassa na katika majadiliano yao wameongelea nini cha kufanya iwapo mwenyekiti atakubali Lowasa apitishwe kiubabe licha ya kuonekana amevunja taratibu za chama toka mapema na katika zoezi linaloendelea, na inasemekana mmoja wa watia kutoka Kanda ya ziwa alitoa pendekezo la kujitenga na Chama na kuungana na upinzani ili kuonyesha kutokubaliana na jinsi mambo yanavyoendeshwa ndani ya chama. Wazo hilo lilileta msuguano na kupata upinzani toka kwa Pinda na ndipo Sumaye alipo sema hatakubaliana kuona fisadi, mwizi akipitishwa na Chama Chake hivyo ni bora wazo la mtoa hoja lifanyiwe kazi. Na mwisho wakakubaliana kufanya kikao cha mwisho wiki ijayo ili kabla kufikia mwafaka wanatakiwa waongee na JK ili kujua nini kinaendelea. Nitawapa mrejesho ijumaa ijayo.
 
Chama cha siasa kikiweza kuyumbishwa na mtu mmoja na kundi lake basi kimekosa sifa ya kuongoza nchi.
 
Hayo ni maoni yako binafsi, lakini CCM wanajua nin wana fanya, na Kama unabisha subiri July 12, formula ya kumuondoa huyo mtu ni X,5,3,1. Yaan kwa formula hiyo hawez kupita nakuhakikishia, sisi wenyew tunajua, Kama tuliweza kumuondoa Sita, hamna mtu alieamini Kama kigezo kile kingetumika, so now kuna Vitu tushaplan kwa kutumia iyo formula juu hapo yaan hawez pita nakwambia, Jana usiku wazee wamekutana kazi ishakamilika.
Na hakuna presha Kama unavozania.
 
Back
Top Bottom