CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

CCM yaitisha Kamati Kuu kwa dharura

umeongea na kuuliza maswali ya msingi sana. tufikie hatua jamani tuwe serious. makongoro nyerere ni kibaraka wa mtu fulan au kama si hivyo basi ni mchekeshaji mmoja au wale watu kadhaa ambao wameingia kwenye harakati hizi ili kuzikebehi. makongoro si rais material, si mbunge material ni mtu flan msema hovyo hovyo ambaye anadhan anaweza kupata nafasi fulani kupitia jina la baba yake. kukweli ni aibu ukikaa kumsikiliza mambo ya kipuuzi anayoongea kiasi kwamba hata wanaomsikiliza wanajiona kama nao wameenda kuangalia the comedy. huyu mtu ametumwa tu hakuwa mtu anyefaa kuwa hata mbunge, na kama ameamua basi hakutumia akili zake sawa sawa... anadhan kuropoka kwake ndiko kutamfanya aonekane ni imara au jasiri.swali la msingi alikuwa wapi miaka yote hiyo? ALIKWI?????? huyu ni mnafiki mbaya sana kama leo atakuja kujinadi kuwa eti yeye ni mpinga ufisadi wakati cv yake haionesh hivyo.

We kweli Chizi Maarifa yani mtu anaewachana live mafisadi ni mropokaji.??
Watu kama wewe inabidi mfe ili nchi iendelee..
 
Last edited by a moderator:
Yaani hii taarifa yko yoote imejaa dhana tuu"hypothesis"hakuna hata ambacho una uhakika nacho...hao manaofanya vikao kumbe na wao wala hawajui Kikwete ameamuaje sasa kwann wameshweka mikakati?Uogaaaa sio mzuri,Hii mada yako ni explorative,kwa maana umeweka uzi huu ili ichunguze jambo flani flani hv kutoka kwa wati flan flani hv, yaan ww umerusha chambo baharin na unategemea samaki wa aina flani ndo watanasa..Tusubir kama utawapata.

Mashetani yanaendelea kuuana yenyewe kwa yenyewe!
 
Hayo ni maoni yako binafsi, lakini CCM wanajua nin wana fanya, na Kama unabisha subiri July 12, formula ya kumuondoa huyo mtu ni X,5,3,1. Yaan kwa formula hiyo hawez kupita nakuhakikishia, sisi wenyew tunajua, Kama tuliweza kumuondoa Sita, hamna mtu alieamini Kama kigezo kile kingetumika, so now kuna Vitu tushaplan kwa kutumia iyo formula juu hapo yaan hawez pita nakwambia, Jana usiku wazee wamekutana kazi ishakamilika.
Na hakuna presha Kama unavozania.

Mnahangaika sana. ENL Ndiye Rais anayefuata. Wapigakura sisi wananchi ndiyo waamuzi.
Wekeni majina mnayotaka nyie tutakutana kwenye sanduku.
 
Wavivu wa kufikiria na wenye uwezo wa mdogo wa kufikiria wanaamini eti kwa kuwa Makongoro Nyerere ni mtoto wa hayati Julius Nyerere na kwa kuwa Nyerere anaheshimika sana nchini basi hicho ni kigezo tosha cha yeye kuwa rais wa JMT

Labda kama wanamkabidhi chama la babayake likamfie mkononi.wanaepuka lawama.
 
Anao marafiki wakuu 2, ni yupi kati yao

Alieyewahi kuwa Kiongozi wa moja ya Mihimili ya Serikali, Aliwahi kucheza timu moja ya Basket na Mh.Kikwete, alifikia cheo cha Juu Jeshini
 
Alieyewahi kuwa Kiongozi wa moja ya Mihimili ya Serikali, Aliwahi kucheza timu moja ya Basket na Mh.Kikwete, alifikia cheo cha Juu Jeshini

Vipi Mamvi na kingunge watakubali?
 
Somji Juma ndo yale madhara ya division 5 hii nchi itaendelea kwa kuwa na watu kama makongoro???????? kweli sasa tumeacha hata kutumia ubongo wetu kufikiri tunatumia makalio na matumbo. we unamwona makongoro anapinga ufisad? anapingaje nambie? alikuwa wapi amewah kuongea nini kupinga ufisadi? makongoro akiwa rais wa nchi hii mimi naenda kuchukua uraia wa sudan au kongo. siwez kuish na aibu ya kusema rais wangu ni makongoro duniani,bora nikawe rais wa nchizenye machafuko kuliko kuongozwa na kituko kama makongoro... huyu ni bwatu bwatu kubwa jinga, na ndo maana hata huko kwake hana ushawish angalia chadema walivyo chukua viti serikali za mitaa.we somji umekaa sana na wahindi mpaka nawe unajiona kama ni mhindi umeolewa na mhindi dada? ukifanya kazi kwa wahindi wanatabia ya kuoa kwa muda waswahili kuwafanyia michezo mibaya....nawe umeathirika sana na hilo jambo. badilika sasa funguka uelewe makongoro ni kama boya tu fulan linaloelea juu ya maji.
 
Last edited by a moderator:
Somji Juma
Suala sio kuwachana mafisadi live, Swali ni alikuwa wapi kuwachana muda wote?
au hadi utangaze nia ndio uwachane live?
 
Last edited by a moderator:
Kuna hoja nyingi nimeorodhesha, ingekuwa vizuri ukazijibu zote kuliko kujibu moja tu, hata hiyo moja uliyojibu, majibu hayajajitosheleza.

Unasema nimekuja Juzi katika siasa na nikitaka kujua Kama Makongoro hukemea ufisadi nikaulize NEC;

Kwanza naomba nikusahihishe, mimi sio mwanasiasa.
kuhusu suala la kuuliza NEC umenishangaza kidogo, hivi tukitaka kujua sifa ya mgombea uraisi tukaulize NEC?
Yaani huyu Makongoro ukemeaji wake wa maovu ukiwemo ufisadi wanaufahamu NEC tu?
Kwani Anataka uraisi wa NEC?

Naomba nikufahamishe kitu, suala la ufisadi sio suala la NEC tu, ni suala la watanzania wote, bila kujali itikadi ya Chama.
Iweje yeyote suala linagusa maslahi ya kila mtanzania aishie kulizungumzia NEC tu, Kwa nini asitoke kuli address publicly? Aliogopa nini?, je tunahitaji mtu muoga anayeogopa kuzungumza masuala ya kitaifa hadharani na Kwa uwazi?

Huyu Makongoro sio 'presidential material' na hadi Watu wanamuona kama analeta mzaha tu, wana wasiwasi na seriousness yake kiasi kwamba wanahoji ni nani Yuko nyuma yake, Watu wanajiuliza, NI NANI KAMTUMA MAKONGORO NYERERE?

cc Mwamapalala
Ni vizuri kama sio mwanasiasa maana ningedhani unatumika ingawa najua watumika.
Tambua katika CCM kuna utaratibu wa kuongea na kuwasema viongozi wakuu wa chama. Sio hadharani kama ulivyotaka wewe usikie. Nikakupa mfano rahisi wa baba na mama.
Sio kila jambo utalijua kijana, ndio Maana hata ukawa walipokutana na Rais makubaliano yao waliyoyataka waliweka siri.
Hoja zako nyingine zilishatajwa tajwa humu sana...pekua na soma kurasa utazipata.
Wangekuwa wanamwona makongoro analeta mzaha, asingezuiwa habari zake katika media. Wewe binafsi usikngehangaika kumkebehi...watu wasingehangaika kutengeneza ujumbe kwa kuwatumia watoto katika ile PROJECT YA IKULU SI YA BABAKO. Ingawaje kwa mababa wa demokrasia USA, The Bush,Clinton mme na mke ni sawa.
Wezi wa nchi hii sote tunawajua na ni wenye nguvu...lakini hujahangaika kukemea lolote zaidi ya kutoa kebehi.
Poleeee
 
Last edited by a moderator:
Somji Juma ndo yale madhara ya division 5 hii nchi itaendelea kwa kuwa na watu kama makongoro???????? kweli sasa tumeacha hata kutumia ubongo wetu kufikiri tunatumia makalio na matumbo. we unamwona makongoro anapinga ufisad? anapingaje nambie? alikuwa wapi amewah kuongea nini kupinga ufisadi? makongoro akiwa rais wa nchi hii mimi naenda kuchukua uraia wa sudan au kongo. siwez kuish na aibu ya kusema rais wangu ni makongoro duniani,bora nikawe rais wa nchizenye machafuko kuliko kuongozwa na kituko kama makongoro... huyu ni bwatu bwatu kubwa jinga, na ndo maana hata huko kwake hana ushawish angalia chadema walivyo chukua viti serikali za mitaa.we somji umekaa sana na wahindi mpaka nawe unajiona kama ni mhindi umeolewa na mhindi dada? ukifanya kazi kwa wahindi wanatabia ya kuoa kwa muda waswahili kuwafanyia michezo mibaya....nawe umeathirika sana na hilo jambo. badilika sasa funguka uelewe makongoro ni kama boya tu fulan linaloelea juu ya maji.

Ukiwa mwizi kibaka lazima utamchukia huyu bwana. majizi na vibaka mkisikia jina Makongoro vima yana gongo pichu.
 
Last edited by a moderator:
Watanzania walilewa Nyerere na bado wana hang over ya Nyerere, Baadhi wanadhani yeyote kutoka ukoo wa Nyerere anafaa!

Makongoro pekee anafaa wengine wanafiki tu. Nchi hsitakuwa na nidhamu bila Makongoro.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais Jakaya Kikwete ameitisha kikao cha dharura cha Kamati Kuu (CC) kitakachofanyika Kesho mjini Dodoma, huku ajenda kuu ikiwa ni kupitisha majina ya wagombea nafasi ya ujumbe wa Halmashuri Kuu (NEC), zilizo wazi kutokana na sababu mbalimbali, kuanzia ngazi za Wilaya mpaka taifa, na kwamba lazima zijazwe katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu ili kila mtu atimize wajibu wake.

Kwa mujibu wa ratiba ya Chama hicho, Kamati ya Usalama na Maadili itafanya kikao chake Julai 8 na kufuatiwa na Kamati Kuu Julai 9 ambayo inatarajiwa kuchuja wagombea wote waliotangaza nia na kupata watano ambao majina yao yatawasilishwa Halmashuri Kuu ya CCM (NEC) itakayofanyi Julai 10 kuchuja wagombea hao na kubaki watatu watakaopigiwa kura na mkutano mkuu kumpata mmoja. Mkutano huo mkuu utafanyika Julia 11 na 12.

Chanzo: MCL

Waache wafu wazike wafu wenzao!
 
sisi kina gogo la shamba tulishasema kikao chochote kitakachokata jina la Lowasa lazima zipigwe ngumi hata akiwepo Kikwete ndani ya kikao hicho, salamu zimeanza kwa mzee Kingunge kusema wazi kwamba hawatokubali jina la Lowasa likatwe
 
Back
Top Bottom