Mkuu Makene amesha2eleweshaHaieleweki vipi mkuu au chungu kumeza.
Mkuu Makene amesha2eleweshaHaieleweki vipi mkuu au chungu kumeza.
Mkuu baada ya Jiji la Mwanza kugawanywa katika halmashauri mbili, Nyamagana ndiyo imekuwa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, huku Ilemela ikiwa Halmashauri ya Manispaa ya...hivyo tunachosubiri ni uchaguzi mmoja, mwingine umeshafanyika. Zilikuwa mbili tu. si tatu kama ambavyo inaweza kuonekana kwenye sentensi zako Mkuu Njowepo. Usiogope. Tuko na watu.
Leo lazima pilau, tende, kahawa, halua et al viliwe kwa wingi kusherehekea ushindi huu muhimu kwa ajili ya ustawi wa Ufisadi nchini.Haieleweki vipi mkuu au chungu kumeza.
Kawasalimie kuzimu pamoja na magamba yako.Chadema vipi mnaona cheche zinavyotoka? Subirini sasa upepo unawageukia wengi wataacha siasa.
Mkuu, naona umemua kurudi CCM ili ukale na mafisadi ! Hongera.Wakati mnaendelea kuchangia thread hii si vibaya mkatueleza sisi tusiojuwa lolote faida za kiti hicho kilipokuwa chini ya Chadema ni zipi!?
Maana mimi sasa nataka nibaki kwenye siasa zangu za Uanaharakati nimeshaona Chadema wanataka kunisababishia vidonda vya tumbo bila sababu yoyote.
Hivi wale madiwani wa Moshi wakiongozwa na Meya wa Chadema kwenda kujifunza usafi Rwanda na kutaka kutekeza mamilioni ya shillingi hilo ndilo huwa linalopiganiwa kuongoza hizi Almashauri au kuna la ziada kwa raia wa kawaida? meya alikuwa wa Chadema mmemtowa kuna ubaya upi sasa kuingia Meya wa CCM?
Mgombea wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia CCM na diwani wa kata ya Mkolani Ndg Stanslaus Mabula, ameshinda kiti cha umeya kwa jumla ya kura 11 dhidi ya mgombea wa CHADEMA diwani wa kata ya Mahina Ndg Charles Chinchibera aliyepata kura 8.
Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio.
Dk. Slaa alifanya makosa ya kuwafukuza madiwani wa chadema wawili kabla ya uchaguzi.... ona sasa matokeo ndio hayo.
Nidhamu katika chama ni muhimu zaidi kuliko kiti cha umeya.
Umeya jiji la Mwanza ndo nini?Je wilaya Ilemela na Nyamagana washindi ni nani ktk umeya?Lete taarifa kamili.