CCM yaibwaga CHADEMA katika Umeya jiji la Mwanza

kwenye siasa lolote linawezekana. Nafikiri wakati Chadema wanalumbana ccm walikua kwenye mikakati ya ushindi.!
 
Mgombea wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia CCM na diwani wa kata ya Mkolani Ndg Stanslaus Mabula, ameshinda kiti cha umeya kwa jumla ya kura 11 dhidi ya mgombea wa CHADEMA diwani wa kata ya Mahina Ndg Charles Chinchibera aliyepata kura 8.

Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio.
Asante kwa taarifa hizi ingawa si nzuri kuzisikia
 
Mkuu, naona umemua kurudi CCM ili ukale na mafisadi ! Hongera.
Akili yako ni ndogo sana mafisadi wapo mpaka Chadema na Zitto ni one of them, ni afadhali ya mtu anayeshabikia CCM na akawa muaminifu na mtiifu kwa CCM kuliko kuwa chama kimoja na mtu wa aina ya Zitto Kabwe, jana yeye anatangaza anataka jana Urais leo chama chake kinapigwa mweleka, hivi huo Urais unaopatikana bila ya kuwa na chama imara kwanza ni wa TFF au ni wa nchi!?

Nasema tena nawapongesza sana CCM kwa ushindi huu na wajiandae kwa ushindi zaidi mpaka pale Chadema itakapogunduwa kama inafuga kansa yenyewe ndio itazinduka kutoka usingizi.
 
Akili yako ni ndogo sana mafisadi wapo mpaka Chadema na Zitto ni one of them, ni afadhali ya mtu anayeshabikia CCM na akawa muaminifu na mtiifu kwa CCM kuliko kuwa chama kimoja na mtu wa aina ya Zitto Kabwe, jana yeye anatangaza anataka jana Urais leo chama chake kinapigwa mweleka, hivi huo Urais unaopatikana bila ya kuwa na chama imara kwanza ni wa TFF au ni wa nchi!?

Nasema tena nawapongesza sana CCM kwa ushindi huu na wajiandae kwa ushindi zaidi mpaka pale Chadema itakapogunduwa kama inafuga kansa yenyewe ndio itazinduka kutoka usingizi.
Mkuu naunga mkono hoja mia kwa mia huo ni ukwel mchungu
 
Akili yako ni ndogo sana mafisadi wapo mpaka Chadema na Zitto ni one of them, ni afadhali ya mtu anayeshabikia CCM na akawa muaminifu na mtiifu kwa CCM kuliko kuwa chama kimoja na mtu wa aina ya Zitto Kabwe, jana yeye anatangaza anataka jana Urais leo chama chake kinapigwa mweleka, hivi huo Urais unaopatikana bila ya kuwa na chama imara kwanza ni wa TFF au ni wa nchi!?

Nasema tena nawapongesza sana CCM kwa ushindi huu na wajiandae kwa ushindi zaidi mpaka pale Chadema itakapogunduwa kama inafuga kansa yenyewe ndio itazinduka kutoka usingizi.
Naheshimu uhuru wako na msimamo wako kisiasa although to a bit unayumba.
 
Hasira za nn mkuu, ndio demokrasia tumeisha umizwa tukae chini tujipange upya , madhambi ya maamuzi ytu ndio yametumaliza

Ningeelewa huo ushindi ungekuwa ni ule unaotokana na kura za wananchi moja kwa moja. Meya anachaguliwa na madiwani (ambao wameshakuwa madiwani tangu 2010), kwa hiyo sioni kilichobadilika mana madiwani wa ccm na wale wasio wa CHADEMA wakiwa wengi obviously watamchagua diwani wa ccm. So what is new here?
 
Back
Top Bottom