Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Mgombea wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia CCM na diwani wa kata ya Mkolani Ndg Stanslaus Mabula, ameshinda kiti cha umeya kwa jumla ya kura 11 dhidi ya mgombea wa CHADEMA diwani wa kata ya Mahina Ndg Charles Chinchibera aliyepata kura 8.
Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio.
Source: Mimi mwenyewe nipo eneo la tukio.