CCM yahaha kuimaliza CHADEMA

CCM yahaha kuimaliza CHADEMA

Yani hiyo inaonesha ni jinsi gani CCM wameingia kwenye mtego wa Chadema, ni bora wangekaa kimya tu kuliko kila siku kuanza kuongelea issue hiyo hiyo kila kiongozi anaongea kivyake
 




  • Naye Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Benno Malisa, amelaami kitendo hicho na kusema ni ishara ya utovu wa nidhamu kwa wapiga kura waliowachagua.

  • hapa kidogo naomba maelekezo

    hivi chadema wamegomea vikao vyote vya bunge au issues za rais? kama hawajagomea vya bunge, tehn watawawakilisha wananchi wao vyema tu vikao "halisi" vikianza... hizi perepete za hotuma, unaugural etc. havina maana kwa wananchi

    chai anywe chiligati, mnyaturu ashibe? sijawahi kusikia... yale yaleee
 
mi nadhani CCMwajaribu kusikiliza CHADEMA wanataka nini tuone mambo kma hayajaenda sawa,hii ni nchi yetu na sis tunajua pumba ni zipi na mchele ni upi
 
Na huo ndo utakuwa ndo mwanzo wa vurugu nchini. Waacheni tu walete!
 
Si mwache hao wabunge wa ccm waandae hoja yao, wawafukuze hao wabunge wa Chadema kama wana jeuri, then tuone kama watakuwa tayari kuwa wakimbizi na kuishi humohumo mjengoni. Manake hasira za wananchi zitakuwa zinawasubiri huku mitaani sijui kama watapata hata pa kuweka mguu. Halafu, kuchakachua kwao kusiwafanye myopic wakadhani wanaungwa mkono na majority na kwamba wananchi wameshasahau walikopigia kura zao. It is still too early to forget. Tunawasubiri mitaani hao watakaojifanya majambazi dhidi ya watetezi wa wanyonge
 
Hivi tangu lini CCM wamekuwa wanautumia wingi wao (majority) ndani ya Bunge katika kuendeleza nchi? Wabunge wa CCM wako tayari kuunga hoja ya kuwafukuza wabunge wa Chadema kuliko kuunga mkono hoja ya kuiundia Kagoda kamati ya uchunguzi ya Bunge. Uwingi wao Bungeni hauna tija yoyote kwa taifa -- ni bora hata wabunge hao wachache wa Chadema.
 
hv kumbe na wyt hause wana vifaa vya kichina????????????maaana icho kingamuzi na dvd player kwakwel hata sijaviafiki:embarrassed:
 
Nitashawishi kama wabunge wa ccm wanajidaia wingi wao, hivyo kuleta mambo ya kijinga tuanze kupigana tu bungeni heshima itakuja.
mbunge wa ccm akililetaa usenge tunatembeza kichapo
 
Litakuwa kosa nambari moja kama CCM na serikali zake watashikwa na kiburi kwa siasa hizi. Watuulize sisi Zanzibar nini kimetutokezea kwa miaka 15 ya siasa za aina hiyo. Tulidhani uhafidhina kwenye CCM uko Zanzibar tu kwa kuwa chimbuko la CCM Zanzibar ni ASP ambacho kilikuwa chama cha kihafidhina, ila ya Bara imechimbukia na TANU ambacho kilikuwa chama cha mrengo wa kati, kumbe ni mote, walikuwa hawajashikwa kooni tu.

Busara ingelikuwa kuwaacha CHADEMA wakawasilisha hasira zao kwa njia hizi za amani, kuliko kuja kulazimisha watumie njia za vurugu kuthibitisha madai yao. Ada ya mja kunena, muungwana ni vitendo
 
Hawa ccm wapuuzi saaana yaani inawauma kumsusia jk anahutubia vipi kama wao wangekuwa wamechakachuliwa si damu ingemwagika?????? Siwaelewi tuliochakachuliwa tumetulia na kufanya mambo kisayansi -wajue uchakachuaji walioufanya utawatokea puani, hakuna kitu muhimu bungeni kama kuhakisha tunapata tume huru na mchakato wa katiba mpaya unaanza hayo ni mambo makuu chadema piga ua lazima wasimamie nami najua kwa msimamo wa mbowe na lissu na damu ya kizazi kipya ya chadema wakiongozwa na martin luther jr (dr slaa), mwanasheria mahiri marando na maprofessa wote baregu, kahigi, lwaitama -mambo hayatayumba mwendo mdundo
 
Sidhani kama watakuwa na busaara ndogo kiasi hicho kwa kuwa kufanya hivyo ni sawa na kualika vurugu Tanzania.
 
Tatizo hao wahafidhina Ccm hawajajua kuwa nchi imebadilika . Wathubutu waone itakavyokuwa nchi nzima .hatuajali cha ShIMBO wala nini? Labda hawakuona Tv
 
Hakika; CCM is Totaly destined for extinction...

and

No body can reverse this...!!!
 
tunawajua ccm kuanzia mkwere hadi wapambe ni watu wa visa. Sitashangaa nikiona haya yanatekelezwa. Wajue kabisa kuwa wananchi wataangalia bunge na kuwa na maoni yao kwa kila kitakachoendelea. Miaka mitano si mingi kama waccm walivyoambiwa na mungu wao. Wajue kuwa wanazidi kuchochea hasira za wana wa nchi na mwisho wa siku watachinjiwa kwenye ballot box. Safari ijayo kitaeleweka tu! Na itafahamika tu! Wao wacheze na hii miaka mitano kuleta bifu na chama cha wananchi-chadema. Watashangaa wamepoteza majimbo 200. Watanzania ni watu wa kimya kimya. Jenerali said it all kwenye waraka wake w pili kwa jakaya

kwa haya maneno hapo juu, silaha ya raia wasiokua na silaha wala nini isipokua maoni tu, sasa ni vema kila mwananchi aanze kuwa mlinzi wa mwenzie kutokudhurika chochote toka kwa sisiem.

Tangu sasa sera kwetu sote iwe 'ukiona tu dalili za jambo au matukio yasiyo ya kawaida kwa yeyote unayemfahamu, rusha hewani mara moja'. Udikteta unashamiri vizuri zaidi katika mazingira ya

(1) woga au kutia hofu watu, na

(2) kukosekana kwa mawasiliano wa haraka miongoni mwa jamii ilioko chini ya udicteta husika.

See something, say something and a solutions will always be available .

 
CCM inaelekea kufilisika mno haraka na wasipochunga fikra zao mbofu-mbofu, watasababisha maafa kwa watanzania kwa kisingizio cha kupambana na Chadema. Wanashindwa kupambanua kuwa tanzania ndio Chadema, maana hiki ni chama cha watu, umma, na nguvu ya watu.

Wanatakiwa watafakari endapo nchi ina watu zaidi ya milion 45, CCM ni milioni 5 tu, watanzania takribani milion 35 ndio 'taifa' na idadi kubwa ni chadema kwa sasa, na wanaobaki kama milion 5 wanagawana vyama vidogo vikiongozwa na CCM-B, yaani Cuf na wasio na vyama.

Kwa hiyo CCM ijue tangazo lolote la uhasama dhidi ya Chadema ni kupambana na 'taifa nzima' na haina kikomo zaidi ya CCM kutoweka au ku-cease!

CCM wanahaha kuhusu uimara na nguvu ya chadema kwa umma na dhidi ya uhalifu wa CCM, hawana majibu, wana pressure, wanapishana na kugombana wenyewe...na bado!
Siku Chadema watafikia maamuzi, wanatangaze rasmi ufidhuli wa CCM, NEC na UWT wlipoharibu kura za taifa hili, kutakuwa na mshtuko mkuu kwao wote na watatamani kuikimbia nchi maana 'raia' na nchi yao hawatatamani hata kuwasikia kuanzia na JK mweyewe. Achana na akina Chiligati na akina Malisa wanaopanic kabla hakujakucha. Tusubirie...Yetu macho.
 
CCM inaelekea kufilisika mno haraka na wasipochunga fikra zao mbofu-mbofu, watasababisha maafa kwa watanzania kwa kisingizio cha kupambana na Chadema. Wanashindwa kupambanua kuwa tanzania ndio Chadema, maana hiki ni chama cha watu, umma, na nguvu ya watu.

Wanatakiwa watafakari endapo nchi ina watu zaidi ya milion 45, CCM ni milioni 5 tu, watanzania takribani milion 35 ndio 'taifa' na idadi kubwa ni chadema kwa sasa, na wanaobaki kama milion 5 wanagawana vyama vidogo vikiongozwa na CCM-B, yaani Cuf na wasio na vyama.

Kwa hiyo CCM ijue tangazo lolote la uhasama dhidi ya Chadema ni kupambana na 'taifa nzima' na haina kikomo zaidi ya CCM kutoweka au ku-cease!

CCM wanahaha kuhusu uimara na nguvu ya chadema kwa umma na dhidi ya uhalifu wa CCM, hawana majibu, wana pressure, wanapishana na kugombana wenyewe...na bado!
Siku Chadema watafikia maamuzi, wanatangaze rasmi ufidhuli wa CCM, NEC na UWT wlipoharibu kura za taifa hili, kutakuwa na mshtuko mkuu kwao wote na watatamani kuikimbia nchi maana 'raia' na nchi yao hawatatamani hata kuwasikia kuanzia na JK mweyewe. Achana na akina Chiligati na akina Malisa wanaopanic kabla hakujakucha. Tusubirie...Yetu macho.

Mimi niondoe katika idadi hiyo maana natafakari kujiondoa muda wowote nitakao pokelewa na makamanda wa CHADEMA. Moyo wangu umeisha ondoka huko hivyo wamebakia 4.99 million tu!!!!
 
niko tayari kushika bunduki ccm ikifanya hivyo damu yangu haina thamani tena niko tayari kuimwaga
 
Kama ni kuimaliza CHADEMA mbona wamechelewa? CHADEMA ni kama cheche ya moto unaowaka mbugani. Na upepo unazidi kupuliza kwenye majani makavu.
 
Back
Top Bottom