Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,228
Hii haisumbui mkuu, cha muhimu ni kile alichosema mwenyekiti Mbowe kuwa 2013 ni mwaka wa nguvu ya umma.Tuhakikishe tunapata tume huru na kuboresha daftari la wapiga kura.Hilo la kuhama wabunge halitakuwa na maana kwa tunahitaji wapiga kura wapya wenye mapenzi na cdm, daftari limejazwa upepo na ccm tukilisafisha upepo ule hawana pa kutokea.