Mundenga
Senior Member
- Feb 26, 2017
- 142
- 213
Mitaa 5 ilikuwa chini ya CCM na 2 ya CUF,
Sababu za marudio hayo ya uchaguzi ni kwamba..
Wenyeviti 2 walifariki (mmoja CUF mmoja CCM),
Mwenyekiti 1 wa CUF alijiuzulu uongozi na wenyeviti 4 walobaki wa CCM walivuliwa uanachama hivyo kupoteza sifa ya kuwa wenyeviti..
na matokeo ndo hayo..
mjumbe hauwawi!
Sababu za marudio hayo ya uchaguzi ni kwamba..
Wenyeviti 2 walifariki (mmoja CUF mmoja CCM),
Mwenyekiti 1 wa CUF alijiuzulu uongozi na wenyeviti 4 walobaki wa CCM walivuliwa uanachama hivyo kupoteza sifa ya kuwa wenyeviti..
na matokeo ndo hayo..
mjumbe hauwawi!