Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Hakika umenena mkuuHamna jipya hapa. Ccm haihitaji kupiga propaganda kwa sababu hakuna mpinzani wa kweli. Kina slaa ni waendekeza njaa tu.
Hakika umenena mkuuHamna jipya hapa. Ccm haihitaji kupiga propaganda kwa sababu hakuna mpinzani wa kweli. Kina slaa ni waendekeza njaa tu.
Ya Dr.Slaa ni ya kwake na Wananchi hatuna cha kumdai.Tunaidai CCM iliyotuahidi Maisha Bora kwa kila Mtanzania.Mbona wafanyakazi wa Kima cha Chini tunalipwa wastani wa Tshs.150,000/= na Mbunge zaidi ya Tshs.11,000,000/=.Haya Maisha bora kwa kila Mtanzania mbona yanabagua?CCM inajali walionacho na sio Maskini,Je kuna haja ya kuichagua tena?
Mkuu, umesahau kuwa ni hao hao waislam ndio walikuwa wanakandamizwa miaka mingi tena na kubaguliwa. Hali inaanza kutulia na sasa na wao wanajiona ni sehemu ya jamii, watu mnaanza majungu. Mmesahau kuwa kwa muda mrefu wakristo wameshika hatamu kwa kila nyanja lakini vijembe havikujitokeza sana. Hii nchi si ya wakristo tu ni ya kila mmoja wetuKuna Ajenda ya Siri.Kamati kuu ya CCM ina Wajumbe 26 WAISLAM na 6 tu ndio WAKRISTO.Utaelewa kwa nini wakristo wanatukanwa bila hofu,Mapadre wanapigwa Risasi na Makanisa yanachomwa Moto na kulipuliwa.
Sisi tumeipa CCM mamlaka ya kututawala na kutuletea Maisha bora.Hatuna Mkataba na Lema,Lipumba wala Mrema.Wenye wajibu wa kutuletea Maisha Bora ni CCM na ndio inayokusanya Kodi na kutekeleza Sera zake.Sasa nauliza Tshs.150,000/= kama Mshahara kwa mwezi unahadhi ya kuboresha Maisha?Kwa nini tuendelee kuichagua CCM kama uwezo wake umeishia kwenye 150,000/= ilhali inawalipa Wabunge zaidi ya Tshs.11,000,000/=?Mkuu, hilo si suala la CCM pekee. Ukweli ni kuwa kuna ulaghai mwingi dhidinya maisha ya Watanzania. Mathalan, Zitto Kabwe alionesha mfano wa kukataa posho ili zisaidie kwenyenshughuli za maendeleo. Cha ajabu, wqkajitokeza watu kama Godbless Lema wakaanza kumuita Zitto kama msaliti. Haya, Dr Slaa naye analazimisha alipwe mshahara wenye hadhi ya mbunge ilhali yeye si mbunge. Chadema kumejaa walaghai wengi na nashangaa wanapolalamikia ccm
Mleta thread TIQO leteni majibu ya tuhuma za kupokea mahela ya Sabodo na kuyamanganua. Nimeambiwa Sabodo anataka report, si unajua ndiye anayeiendesha cdm. Badala ya kujibu hayo unalalamika ccm wamejipanga kwenye mitandao, mtatoka kamasi this time. I guess NI WEWE UNAYELIPWA SENTI KIDUCHU YA KUINGIA JF kutetea ufwala wa na wizi wa mabwana zako
Kwanza hakuna aliyekulazimisha uichague CCM na walanhujawahi kuichagua. Wanaochagua wanajua kwa nini wanaichagua. Kwani, nje ya CCM, kuna chama gani kinaweza kuboresha maisha ya Watanzania kwa kadri wqpendavyo wao?Sisi tumeipa CCM mamlaka ya kututawala na kutuletea Maisha bora.Hatuna Mkataba na Lema,Lipumba wala Mrema.Wenye wajibu wa kutuletea Maisha Bora ni CCM na ndio inayokusanya Kodi na kutekeleza Sera zake.Sasa nauliza Tshs.150,000/= kama Mshahara kwa mwezi unahadhi ya kuboresha Maisha?Kwa nini tuendelee kuichagua CCM kama uwezo wake umeishia kwenye 150,000/= ilhali inawalipa Wabunge zaidi ya Tshs.11,000,000/=?
Kama mmeshindwa kuwa waadilifu kwenye fedha za sabodo, mtaweza kutunza hazina ya taifa? Si mtahamisha mpaka Ikulunakushauri sikiliza bunge wacha usharo baro.....kangi lugola .....waziri mkuu hafai pesa zimeliw a hachukui hatua nini pesa ya sabodo alitoa kiduchu mara moja lakini m600 zimeyeyuka hio ni sm moja porini musoma je mjini ? jumlisha na mishahara hewa
Mkuu, umesahau kuwa ni hao hao waislam ndio walikuwa wanakandamizwa miaka mingi tena na kubaguliwa. Hali inaanza kutulia na sasa na wao wanajiona ni sehemu ya jamii, watu mnaanza majungu. Mmesahau kuwa kwa muda mrefu wakristo wameshika hatamu kwa kila nyanja lakini vijembe havikujitokeza sana. Hii nchi si ya wakristo tu ni ya kila mmoja wetu
Matusi na kejeli zenu zimezoelekahuyu ni bibi kuliko hata aliyeoko mjengo..
Uelewa Mdogo wa Watanzania wengi ndio unasababisha CCM iendelee kuwepo madarakani lakini sio kwa sababu inafanya mambo kulingana na mahitaji ya watanzania.Ni jukumu la kila Mtanzania kumwelimisha mwenzake ili CCM ipumzishwe na Kije Chama chenye maono na uwezo wa kuongoza.Huwezi kunishawishi kwamba CCM ina uwezo wa kutawala kwa Kumlipa Mtanzania Tshs.150,000/= kwa Mwezi ilhali ana Familia ya Mke na Watoto wanne.Kwanza hakuna aliyekulazimisha uichague CCM na walanhujawahi kuichagua. Wanaochagua wanajua kwa nini wanaichagua. Kwani, nje ya CCM, kuna chama gani kinaweza kuboresha maisha ya Watanzania kwa kadri wqpendavyo wao?
Ni dhahiri shahili CCM kuelekea ukingoni mwa mwaka huu wamejipanga kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda, ni kweli sasa hivi CCM inatumia vijana kwa vibibi kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda na kupotosha umma, kwa hili naona wamefanikiwa kwa kiasi flani kufanya siasa kwenye mitandao ya kijamii kwani wametoa ajira kwa vijana na vibibi kushinda kwenye mitandao kufanya siasa na propaganda, lakini wanasahau kuwa Mtanzania wa kawaida anata maji safi, umeme wa uhakika, Elimu bora, Barabara vijijini zipitike muda wote, Bei za mazao zilidhishe, Huduma bora za afya n.k kwa hili CCM wamelala fofofo wao wamejikita kwenye propaganda wananchi wanataka maji safi wewe unakuja unawaambia CHADEMA chama cha ukanda, cha kidini, cha ukabira haya yanamsaidia nini mwananchi wa kawaida aliyevuna Kahawa yake Bukoba au aliye vuna Korosho yake Lindi na Mtwara je yatamsaidia bei kupanda?
Vijana wapenda mabadiliko ya kweli ni muda muafaka sasa wa kupambana na mkoloni mweusi ambae ni baba ako, mama ako, kaka ako, dada ako, bibi yako, babu yako, mjomba ako, shangazi yako ambaye analewa propaganda za CCM ili aendelee kumwachia mkoloni mweusi akifaidi keki ya taifa na familia yake na rafiki zake hili halikubaliki Taifa hili la Tanzania ni la waTanzania sote haijalishi wewe ni UDP, CCM, CHADEMA au CUF bila kujali kabila lako, dini yako, wala ukanda unao toka haki itendewe kwa wote.
CCM mmeajiri vijana kufanya siasa za maji taka kwenye mitandao ya kijamii lakini wananchi hawataki habari za Zitto awe mwenyekiti, Mbowe atolewe, Seif amenogewa na umakamu wa rais wananchi wanataka maendeleo mmewafanyia nini wananchi? Mpaka mjinasibu mwendelee kukaa madarakani?
Ni dhahiri shahili CCM kuelekea ukingoni mwa mwaka huu wamejipanga kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda, ni kweli sasa hivi CCM inatumia vijana kwa vibibi kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda na kupotosha umma, kwa hili naona wamefanikiwa kwa kiasi flani kufanya siasa kwenye mitandao ya kijamii kwani wametoa ajira kwa vijana na vibibi kushinda kwenye mitandao kufanya siasa na propaganda, lakini wanasahau kuwa Mtanzania wa kawaida anata maji safi, umeme wa uhakika, Elimu bora, Barabara vijijini zipitike muda wote, Bei za mazao zilidhishe, Huduma bora za afya n.k kwa hili CCM wamelala fofofo wao wamejikita kwenye propaganda wananchi wanataka maji safi wewe unakuja unawaambia CHADEMA chama cha ukanda, cha kidini, cha ukabira haya yanamsaidia nini mwananchi wa kawaida aliyevuna Kahawa yake Bukoba au aliye vuna Korosho yake Lindi na Mtwara je yatamsaidia bei kupanda?
Vijana wapenda mabadiliko ya kweli ni muda muafaka sasa wa kupambana na mkoloni mweusi ambae ni baba ako, mama ako, kaka ako, dada ako, bibi yako, babu yako, mjomba ako, shangazi yako ambaye analewa propaganda za CCM ili aendelee kumwachia mkoloni mweusi akifaidi keki ya taifa na familia yake na rafiki zake hili halikubaliki Taifa hili la Tanzania ni la waTanzania sote haijalishi wewe ni UDP, CCM, CHADEMA au CUF bila kujali kabila lako, dini yako, wala ukanda unao toka haki itendewe kwa wote.
CCM mmeajiri vijana kufanya siasa za maji taka kwenye mitandao ya kijamii lakini wananchi hawataki habari za Zitto awe mwenyekiti, Mbowe atolewe, Seif amenogewa na umakamu wa rais wananchi wanataka maendeleo mmewafanyia nini wananchi? Mpaka mjinasibu mwendelee kukaa madarakani?
pata like yangu iyo kama posa.
mkuu kibibi moja wapo hiki hapa..
Naona huwa unawashwa sehemu ukisikia jina la Dr. Slaa. Hakuna siku inayopita bila kumtaja utadhani alishalala kitanda kimoja na mama yako. Kama unataka na wewe tega uone
​umemaliza???????????Ni dhahiri shahili CCM kuelekea ukingoni mwa mwaka huu wamejipanga kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda, ni kweli sasa hivi CCM inatumia vijana kwa vibibi kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda na kupotosha umma, kwa hili naona wamefanikiwa kwa kiasi flani kufanya siasa kwenye mitandao ya kijamii kwani wametoa ajira kwa vijana na vibibi kushinda kwenye mitandao kufanya siasa na propaganda, lakini wanasahau kuwa Mtanzania wa kawaida anata maji safi, umeme wa uhakika, Elimu bora, Barabara vijijini zipitike muda wote, Bei za mazao zilidhishe, Huduma bora za afya n.k kwa hili CCM wamelala fofofo wao wamejikita kwenye propaganda wananchi wanataka maji safi wewe unakuja unawaambia CHADEMA chama cha ukanda, cha kidini, cha ukabira haya yanamsaidia nini mwananchi wa kawaida aliyevuna Kahawa yake Bukoba au aliye vuna Korosho yake Lindi na Mtwara je yatamsaidia bei kupanda?
Vijana wapenda mabadiliko ya kweli ni muda muafaka sasa wa kupambana na mkoloni mweusi ambae ni baba ako, mama ako, kaka ako, dada ako, bibi yako, babu yako, mjomba ako, shangazi yako ambaye analewa propaganda za CCM ili aendelee kumwachia mkoloni mweusi akifaidi keki ya taifa na familia yake na rafiki zake hili halikubaliki Taifa hili la Tanzania ni la waTanzania sote haijalishi wewe ni UDP, CCM, CHADEMA au CUF bila kujali kabila lako, dini yako, wala ukanda unao toka haki itendewe kwa wote.
CCM mmeajiri vijana kufanya siasa za maji taka kwenye mitandao ya kijamii lakini wananchi hawataki habari za Zitto awe mwenyekiti, Mbowe atolewe, Seif amenogewa na umakamu wa rais wananchi wanataka maendeleo mmewafanyia nini wananchi? Mpaka mjinasibu mwendelee kukaa madarakani?
ha ha ha watoto wa BABU wana laana kweliKibibi jina la mtu. Mimi Bibi.
mkuu faizafox usishindane na mafukara wa akili hao
​wengi wao hawajalelewa na wazaziMatusi na kejeli zenu zimezoeleka