OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Yangu macho na kupata misamiati mipya ya matusi.
Usisahau kalamu na karatasi uwe karibu na kitubio pia maana tutshiriki dhambi ya kuona matusi
Yangu macho na kupata misamiati mipya ya matusi.
Jamani si huwa mnasema Mbowe ni Tajiri, mbona anajikomba kwa Sabodo mpaka anasalimiwa kwa mkono wa kujitawazia?
Jamani si huwa mnasema Mbowe ni Tajiri, mbona anajikomba kwa Sabodo mpaka anasalimiwa kwa mkono wa kujitawazia?
Wewe juzi juzi hapa ulikuwa unalia na ufisadi uchimbaji wa visima kijijini kwenu huko mkoa wa Dom bado unamtumikia mkoloni mweusi huoni hata haya wewe kibibi?
Leo najipumzikai home, hebu ngoja nianzishe thread ya kuhoji hili, ni vizuri chama changu kiweke majibu humu!
Wewe na faiza wote ni matapeli tu mnao ingiza siku kwa kudanganya umma. Mlitana mchanganuo wa matumizi ya pesa mletewe nyie kama kina nani ndan ya chama? Sisi wanachedema ndio tuna jua pesa ile imefanya nini nawashangaa mnapi taka kuju mambo ya nyumba ya pili wakanu nyumba yenu wenyewe mnaishindwa,
Mwaka huu mtatafuta mchawi sana, vipi kipondo cha Dokta Slaa? yu hai yu hoi? leo anahutubia wapi?
Ni dhahiri shahili CCM kuelekea ukingoni mwa mwaka huu wamejipanga kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda, ni kweli sasa hivi CCM inatumia vijana kwa vibibi kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda na kupotosha umma, kwa hili naona wamefanikiwa kwa kiasi flani kufanya siasa kwenye mitandao ya kijamii kwani wametoa ajira kwa vijana na vibibi kushinda kwenye mitandao kufanya siasa na propaganda, lakini wanasahau kuwa Mtanzania wa kawaida anata maji safi, umeme wa uhakika, Elimu bora, Barabara vijijini zipitike muda wote, Bei za mazao zilidhishe, Huduma bora za afya n.k kwa hili CCM wamelala fofofo wao wamejikita kwenye propaganda wananchi wanataka maji safi wewe unakuja unawaambia CHADEMA chama cha ukanda, cha kidini, cha ukabira haya yanamsaidia nini mwananchi wa kawaida aliyevuna Kahawa yake Bukoba au aliye vuna Korosho yake Lindi na Mtwara je yatamsaidia bei kupanda?
Vijana wapenda mabadiliko ya kweli ni muda muafaka sasa wa kupambana na mkoloni mweusi ambae ni baba ako, mama ako, kaka ako, dada ako, bibi yako, babu yako, mjomba ako, shangazi yako ambaye analewa propaganda za CCM ili aendelee kumwachia mkoloni mweusi akifaidi keki ya taifa na familia yake na rafiki zake hili halikubaliki Taifa hili la Tanzania ni la waTanzania sote haijalishi wewe ni UDP, CCM, CHADEMA au CUF bila kujali kabila lako, dini yako, wala ukanda unao toka haki itendewe kwa wote.
CCM mmeajiri vijana kufanya siasa za maji taka kwenye mitandao ya kijamii lakini wananchi hawataki habari za Zitto awe mwenyekiti, Mbowe atolewe, Seif amenogewa na umakamu wa rais wananchi wanataka maendeleo mmewafanyia nini wananchi? Mpaka mjinasibu mwendelee kukaa madarakani?
Mkuu madam ,samaani kama ujaolewa nitatuma posa yangu , niliweka naziri ya kuoa binti mbisi na naona utanifaa manake vigezo unavyo nivipendavyo na ukiongezea kigezo ca nini kiko kamilifu,
Vip kuhusu kile kijitoto kibiiichi cha mheshiwa k? Kimeanza dozi? Au ndo sera ya chama inatekelezwa.
Njoo, leta posa kwa mume wangu. Tupo Lumumba na Udoe, ubavuni mwa Makao Makuu ya Mkoa ya CCM.
Mtu yeyote akipingana mawazo na nyie ni CCM,mizizi ya usukule ,umamluki mahaba ya kipumbavu naona vinakua kwa kasi!!
Ni dhahiri shahili CCM kuelekea ukingoni mwa mwaka huu wamejipanga kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda, ni kweli sasa hivi CCM inatumia vijana kwa vibibi kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda na kupotosha umma, kwa hili naona wamefanikiwa kwa kiasi flani kufanya siasa kwenye mitandao ya kijamii kwani wametoa ajira kwa vijana na vibibi kushinda kwenye mitandao kufanya siasa na propaganda, lakini wanasahau kuwa Mtanzania wa kawaida anata maji safi, umeme wa uhakika, Elimu bora, Barabara vijijini zipitike muda wote, Bei za mazao zilidhishe, Huduma bora za afya n.k kwa hili CCM wamelala fofofo wao wamejikita kwenye propaganda wananchi wanataka maji safi wewe unakuja unawaambia CHADEMA chama cha ukanda, cha kidini, cha ukabira haya yanamsaidia nini mwananchi wa kawaida aliyevuna Kahawa yake Bukoba au aliye vuna Korosho yake Lindi na Mtwara je yatamsaidia bei kupanda?
Vijana wapenda mabadiliko ya kweli ni muda muafaka sasa wa kupambana na mkoloni mweusi ambae ni baba ako, mama ako, kaka ako, dada ako, bibi yako, babu yako, mjomba ako, shangazi yako ambaye analewa propaganda za CCM ili aendelee kumwachia mkoloni mweusi akifaidi keki ya taifa na familia yake na rafiki zake hili halikubaliki Taifa hili la Tanzania ni la waTanzania sote haijalishi wewe ni UDP, CCM, CHADEMA au CUF bila kujali kabila lako, dini yako, wala ukanda unao toka haki itendewe kwa wote.
CCM mmeajiri vijana kufanya siasa za maji taka kwenye mitandao ya kijamii lakini wananchi hawataki habari za Zitto awe mwenyekiti, Mbowe atolewe, Seif amenogewa na umakamu wa rais wananchi wanataka maendeleo mmewafanyia nini wananchi? Mpaka mjinasibu mwendelee kukaa madarakani?