Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Ni ngumu kuwafanya kina Nape na Mwigulu kuelewa. Kuleta watu kwenye mitandao (Book 7 hao) hawaisadii CCM hata kidogo kwa maana ya kusaidia mbali tu ya kupoteza pesa ya Chama na walipa kodi. Hakuna mtu ambaye ana uwezo wa ku-access mitandao anayeweza kubadili mawazo na kusema sasa CCM ni nzuri kwa kusoma propaganda za kina Ritz na FaizaFoxy. It is just wastage of resources. Wangependa kusikiliza ushauri, hizo nguvu wazipeleke kwenye kutimiza ilani yao ya uchaguzi vinginevyo come 2015, wajiandae kuwa chama cha upinzani.
Tiba
Afadhali leo umeongea jambo! Naona mnaanza kukubali kuwa defeated!