KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Wanabodi katika hali ya kuendeleza siasa za maji taka kama siyo kutapata kwa ccm katika kampeni za jimbo la arumeru mashariki ccm wagawa nakala za gazeti la SAUTI HURU ambalo linatoka kwa wiki mara moja na linauzwa sh.500 wao ccm wakitoa bure kwa wote waliohudhuria mikutano gazeti lenyewe likiwa limebebwa na story zinazoichafua CDM ikiwa kama ni mbinu ambayo wao ccm wanaona itawasaidia baada ya matusi kushindwa majukwani.hili gazeti nafikiri nikati ya yaleyaliotabiriwa kuanzishwa kwa ajili ya 2015.
Mwigulu una maelezo juu ya hili?wanabodi wanafurahi kupata ufafanuzi tunajua lipo ndani ya uwezo wake.
Mwigulu una maelezo juu ya hili?wanabodi wanafurahi kupata ufafanuzi tunajua lipo ndani ya uwezo wake.