yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,102
Hilo gazati limeandikwa nini?
lina zile picha yule jamaa aliemwangiwa tindikali na vijana wa nape....
Hilo gazati limeandikwa nini?
Kwa hiyo wameamua kuwapa watu ushahidi kuwa wamekuja Arumeru kutukana na sio kuwaeleza kwa nini ardhi yao imepewa wazungu? Kwanini hawana maji? Kwanini hakuna barabara? 50yrs tumekuwa chini ya hawa mufilisi.
Mkuu nimekusoma gazeti linachapishwa na free voice investment co.kariakoo mtaa wa akamba.
1.Albert kawogo-mkurugenzi mtendaji
Ok huyo nikibaraka wa Shubash sijawahi kumona ila nasikia sana fitna zake na kainzi kangu kanakusanya data siku si nyingi nitaweka mambo yao yote hapa na ushirki wa Rweimamu kwa free voice.
Radio uhuru huwa nasikiliza kipindi kimoja tu wanapiga bolingo kinaitwa Ambiance Shituka, sijawahi kusikia tangazo la biashara humo.well said mkuu hata redio uhuru nayo taabu tupu!kwenye mikutano walishaacha kualikwa kwakuwa awana audience.gazeti linaloongoza kwa circulation ni mwananchi 60,000-100,000 copies na kama unavyojua mbaya wao Tido ndo mkurugenzi wa MCL.
Ni toleo maalum la mambo ya Arumeru, au hata habari nyingine linaandika?Hivi ndivyo vichwa vya habari kwenye hilo gazeti:
1. Chadema wakata tamaa front page
2.CDM waburuzwa mahakamani mbeya
3.Mahitaji ya arumeru mashariki si undugu wa nyerere-dongo kwa vicent
4.chadema iache kufanya uhuni arumeru
hayo ni kwa ufupi tu
mtapiga kelele nyingi sana ila mkae mkijua CCM kitashinda ARUMERU na nitakuja kuwakumbusha apa apa kupitia jamvi hili.ni kweli watu wamechoka na CCM ila pia ni ukweli kwamba CHADEMA kinapoteza muelekeo na kinaelekea kufa kosa kubwa wanalolifanya CDM AU M4C NI KUTO KI INSTITUTIONALIZE CHAMA hawakipeleki kwa WANANCHI utakuta sura zilezile SUZAN LYMO,MBOWE,MTEI.SLAA hakuna watu wa morogoro kwenye uongozi hakijakaa kitaifa kimekaaa ki NGO
Ni toleo maalum la mambo ya Arumeru, au hata habari nyingine linaandika?
well said mkuu hata redio uhuru nayo taabu tupu!kwenye mikutano walishaacha kualikwa kwakuwa awana audience.gazeti linaloongoza kwa circulation ni mwananchi 60,000-100,000 copies na kama unavyojua mbaya wao Tido ndo mkurugenzi wa MCL.
mtapiga kelele nyingi sana ila mkae mkijua CCM kitashinda ARUMERU na nitakuja kuwakumbusha apa apa kupitia jamvi hili.ni kweli watu wamechoka na CCM ila pia ni ukweli kwamba CHADEMA kinapoteza muelekeo na kinaelekea kufa kosa kubwa wanalolifanya CDM AU M4C NI KUTO KI INSTITUTIONALIZE CHAMA hawakipeleki kwa WANANCHI utakuta sura zilezile SUZAN LYMO,MBOWE,MTEI.SLAA hakuna watu wa morogoro kwenye uongozi hakijakaa kitaifa kimekaaa ki NGO
Mkuu Mangi wa Ukweli,
Natumaini wewe ni msomi unayejua kusoma. Basi soma walau kidogo katiba ya Chadema kabla hujasema hivyo. Katiba yetu inasema maamuzi yote yanafanyika kwa kura. Sasa unadhani hao viongozi uliowataja wanakura ngapi vikaoni kila mmoja wao? Au unataka kusema kuna vitu wanafanya bila kushirikisha vikao halali? Hii ndio hasa propaganda isiyo na tija kwa sababu hata mtoto mdogo hawezi kukuamini. Chama chetu ni institutionalized already, ila nadhani kuna vitu wewe hujui.
ccm ni wa se.n.ge. Sana, na huu ujinga wao una mwisho, make hata utawala wa rumi uliokuwa na nguvu za ajabu ulifikia mwisho,
wafanye kila mbinu lakini hizo mbinu zitaisha siku moja na wanaichi hawatakubali tena hizo propaganda za ki s.e.n.ge wanazo fanya
mtapiga kelele nyingi sana ila mkae mkijua CCM kitashinda ARUMERU na nitakuja kuwakumbusha apa apa kupitia jamvi hili.ni kweli watu wamechoka na CCM ila pia ni ukweli kwamba CHADEMA kinapoteza muelekeo na kinaelekea kufa kosa kubwa wanalolifanya CDM AU M4C NI KUTO KI INSTITUTIONALIZE CHAMA hawakipeleki kwa WANANCHI utakuta sura zilezile SUZAN LYMO,MBOWE,MTEI.SLAA hakuna watu wa morogoro kwenye uongozi hakijakaa kitaifa kimekaaa ki NGO
mtapiga kelele nyingi sana ila mkae mkijua CCM kitashinda ARUMERU na nitakuja kuwakumbusha apa apa kupitia jamvi hili.ni kweli watu wamechoka na CCM ila pia ni ukweli kwamba CHADEMA kinapoteza muelekeo na kinaelekea kufa kosa kubwa wanalolifanya CDM AU M4C NI KUTO KI INSTITUTIONALIZE CHAMA hawakipeleki kwa WANANCHI utakuta sura zilezile SUZAN LYMO,MBOWE,MTEI.SLAA hakuna watu wa morogoro kwenye uongozi hakijakaa kitaifa kimekaaa ki NGO
naomba mnijuze linatoka lini? ili miwahi clouds fm siku hiyo asubuhi maana najua wataanza nalo tu!Huwa linaandika habari zingine pia lakini linatetea mafisadi.