albert kawogo ninamfahamu zaidi kwa undani tokea anafundisha kule mbegani, akajiunga na chuo cha sanaa bagamoyo akafukuzwa chuo(hakumaliza) ni mtu mpenda makuu,cha pombe, muongo, na mnafki pia mpenda kujikweza kwa watu wenye nazo kwa ujumla ni mtu ambaye yuko tayari kuuza utu wake kwa rupia. waulizeni wanachuo waliopitia chuo cha sanaa bagamoyo 1997 hadi 1998 wanamfahamu huyu mtu ni mwehu fulani hivi ambae kwake pombe ilikua issue na kuoga ni majaliwa.
Nilifanikiwa kuonana na huyo mtu nikafanya mazunguzo machache pamoja naye hatahivyo ninakusanya data fulanifulani kuhusiana na Subash zikikamilika nitaziweka hapa.