Haya mkuu huyu aliye defect anahesabika upande upi? Umeeeleza vizuri
Mimi nimeongelea mgawanyo wa madiwani baada ya uchaguzi.
Huyu aliyejiuzulu ina maana kata haina diwani mpaka hapo uchaguzi utakapofanyika. Kwahiyo CCM itakuwa na madiwani 9 wa kuchaguliwa, CHADEMA 8 na TLP 1.
Ukiacha wabunge wa viti maalum bado CCM itakuwa na madiwani 13 na CHADEMA 12.