Mie nafikiri, tuwe tuna crush hoja za wajinga kama akina Tambwe kwa hoja. Je ni kweli ccm wana madiwani 16 na chadema wanao 14?
Kwani diwani wa CCM hawezi mpigia kura mgombea wa CHADEMA?Uchaguzi si siri ya mtu ? hii Tambwe iko gonjwa kabisa...kama dhani ndiyo hiyo uchaguzi wa nini si ingekuwa kuteua mara moja tu?
....Tambweeeeeee!!!! Mashallah, mtoto si rizki huyu!!!!! Bonyeeeeeeee, wakubofya kizenji au kibara huyu ukitaka!!!!! Tambweeeeeeee!!!!!
Mie nafikiri, tuwe tuna crush hoja za wajinga kama akina Tambwe kwa hoja. Je ni kweli ccm wana madiwani 16 na chadema wanao 14?
Kwani diwani wa CCM hawezi mpigia kura mgombea wa CHADEMA?Uchaguzi si siri ya mtu ? hii Tambwe iko gonjwa kabisa...kama dhani ndiyo hiyo uchaguzi wa nini si ingekuwa kuteua mara moja tu?
Mwandishi wa thread alitaka kujua ukweli wa idadi ya madiwani iliyotolewa na Tambwe.
Mbona hakuna aliyejibu swali mpaka hivi sasa. Hivi ni vigumu kusema ukweli au uongo na kutoa idadi unayofikiria ni halali.
Nadhani mtajibu swali jepesi, halihitaji kufikiri ni fact unayoikopi na kuipaste tu.
CCM ina madiwani wengi zaidi ya CHADEMA kule Arusha. Kwa wale wa kuchaguliwa CCM ina 10 wakati CHADEMA ina 8. Ukiongeza na mbunge basi CCM ina 10 na CHADEMA 9 na TLP 1.
Ukiweka na wale wa kuteuliwa, CCM ina 14 na CHADEMA 12.
Umeya ni kura ya siri kwahiyo sio rahisi kujua nani angelishinda ila kama ni namba CCM ina madiwani wengi kuliko CHADEMA. Waulizeni hata Wabunge wa CHADEMA walioko hapa. Au mwulizeni mzee Mwanakijiji maana naye ni mfutiliaji.
Toa takwimu za kupinga.Holy crap!
Toa takwimu za kupinga.
Soma na kuelewa! unataka takwimu gani? Tambwe kasema wako 16.....Mkulima naye kaja na 14 bado unataka jibu la mchungaji?Diwani aliye defect anahesabiwa kundi lipi CCM ama CDM?
Ukisoma vizuri mimi sijaweka wabunge wa viti maalum maana hapo ndio kuna utata.
Kwa taarifa nilizo nazo mimi CHADEMA wameijulisha halmashauri kwamba wana wabunge wawili viti maalum na CCM nao wana wabunge wawili viti maalum.
Ukijumlisha unapata CCM ina madiwani 16.
Hata katika kura, waliopiga walikuwa 17, ikiwa ni madiwani 16 wa CCM na mmoja wa TLP.
Namba aliyotoa Tambwe ni sahihi. Hata wakimtoa huyo mama bado CCM wanabaki na madiwani 15 wakati CHADEMA wanakuwa na 14.
Wewe ni hopeless kabisa eti tumuulize Mwanakijiji inavyoonekana hata ukipigwa na mkeo huwa unamshitaki kwa MKJJ hovyoooo, kwanza takwimu zako feki hujui wabunge nao ni madiwani kwenye mikoa yao.CCM ina madiwani wengi zaidi ya CHADEMA kule Arusha. Kwa wale wa kuchaguliwa CCM ina 10 wakati CHADEMA ina 8. Ukiongeza na mbunge basi CCM ina 10 na CHADEMA 9 na TLP 1.
Ukiweka na wale wa kuteuliwa, CCM ina 14 na CHADEMA 12.
Umeya ni kura ya siri kwahiyo sio rahisi kujua nani angelishinda ila kama ni namba CCM ina madiwani wengi kuliko CHADEMA. Waulizeni hata Wabunge wa CHADEMA walioko hapa. Au mwulizeni mzee Mwanakijiji maana naye ni mfutiliaji.