Tetesi: CCM si wamoja, hamna siri. Kumbe kamati kuu yenu iligawanyika pakubwa kuhusu sakata la kufukuzwa Membe?

Ajabu huyo bashiru kakuta kina kinana wamekijenga chama kwashida yeye anaingizwa na kuleta misimamo yake ya tofauti na wakongwe wanaufyata...kweli waafrika hatuko conscious kabisa MTU ameponda misimamo ya chama several times wakati wao wakiitetea Leo kayabadilisha yooote yanampigia makofi na kumwogopa akiyakemea. Unafiki huu ndio unafanya nchi haiendelei hii Leo kijanaake Mtatiro wa Cuf anapeperusha Bendera wapambanaji wanazurura namanguo ya kijani mjini
 
Bashiru anatumika na jiwe kusimika udikteta ndani ya chama. Bashiru ipo siku atajuta anayoyafanya ndani ya chama.

Ni aibu kwa mhadhiri aliyewahi kuheshimika siku za nyuma. Anaaibisha taaluma yake na anajiwekea alama ya kudumu atakayokufa nayo kwa majuto. Lakini majuto ni mjukuu. Pole sana kadikteta kabashiru.
Tangu lini mtu aliyesomea ds akawa na akili nzuri.politics ni sehemu ya maisha yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashiru anatumika na jiwe kusimika udikteta ndani ya chama. Bashiru ipo siku atajuta anayoyafanya ndani ya chama.

Ni aibu kwa mhadhiri aliyewahi kuheshimika siku za nyuma. Anaaibisha taaluma yake na anajiwekea alama ya kudumu atakayokufa nayo kwa majuto. Lakini majuto ni mjukuu. Pole sana kadikteta kabashiru.
Mkuu unataka akale wapi?
 
Mnatuchanganya. Si ninyi mlisema hoja haikusomwa ila ilitolewa mfukoni mwa mwenyekiti karatasi yenye maamuzi?
 
Ya kweli haya!?
Ni kweli kwani sasa hivi kuna genge linalotumia mabavu ya dola kutawala. CCM ile ya kujenga hoja na kushawishi ilishajifia.
tapatalk_1582299881767.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bashiru nae keshaanza kuuota urais! Anajaribu kutengeneza njia yake binafsi.
 
2010 Shibuda alifukuzwa mbona maneno hayo hayakuwepo au yeye hakuwa binadamu?
Shibuda hakufukuzwa ccm
Bali ktk mchakato wa Kura za maoni za kuania nafas ya ubunge jina lake lilikatwa
Sikumbuki vizur na Kama lililudi basi ilikuwa nafas ya 3
Kwa hasira ya figisu aliyofanyiwa na jinsi anavyokubalika ndipo alipohamia chama Cha chadema na akashinda nafasi ya ubunge
Lakini HAKUFUKUZWA CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umezaliwa umeikuta utakufa utaiacha. Muulize babu wa babu yako kama yupo. CCM shall never die.

Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ishakufa zamani - hata sisi wana CCM dormant hili tunalijua. ni polisi tu inayoifanya CCM iwepo. JK aliliona hili na alishatoa onyo zamani.

mnaowaita "mabeberu" wameishalitambua hili, ndiyo maana uchaguzi wa mwaka huu utakuwa mgumu sana kwa CCM haijawahi tokea!
 
Kati ya wajumbe wote wa kamati kuu ni watu watatu tu pamoja na msemaji wao ndiyo waliounga mkono Membe kufukuzwa. Hata aliyeongoza Tume ya Maadili, yaani Mzee Philip Mangula alipinga Membe kuvuliwa uanachama wa chama hicho, imedokezwa.

Wajumbe wengi walipendekeza Benard Membe kufungiwa kufanya siasa ndani ya chama hicho kwa muda maalum kama adhabu mbadala ili kuepuka kukigawa chama.

Adhabu kama hiyo ndiyo alipewa Kinana ambaye hata hivyo haiwezi kumuathiri kwa lolote lile kwani alishaachana na mambo ya siasa. Adhabu hiyo mbadala ilipingwa kwa nguvu zote na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr. Bashiru Ally ambaye alisimamia Membe na Kinana kufukuzwa.

Taarifa zilizovuja ndani ya kamati hiyo zinadai kuwa wajumbe wa kikao hicho waliondoka bila ya kupata muafaka wa pamoja huku wababe wanne ambao walisimamia Membe kufukuzwa wakitoka na maamuzi yao.

My take: Upo uwezekano kuwa ndani ya CCM kuna mgogoro unaoendelea licha ya wachache kutuaminisha kuwa wanachama wake ni wamoja. Tusubiri tuone watakaoanza kuunga mkono msimamo wa Membe wazi wazi.
HII INAONYESHA DEMOCRASIA NDANI YA CCM!

CHADEMA MNAKWAMA WAPI? HUKU HAKUNA MAMBO YA "SUMU HAIRAMBWI"
 
Kanuni zinawaruhusu watu wanne kumfuta mwanachama ?
Kati ya wajumbe wote wa kamati kuu ni watu watatu tu pamoja na msemaji wao ndiyo waliounga mkono Membe kufukuzwa. Hata aliyeongoza Tume ya Maadili, yaani Mzee Philip Mangula alipinga Membe kuvuliwa uanachama wa chama hicho, imedokezwa.

Wajumbe wengi walipendekeza Benard Membe kufungiwa kufanya siasa ndani ya chama hicho kwa muda maalum kama adhabu mbadala ili kuepuka kukigawa chama.

Adhabu kama hiyo ndiyo alipewa Kinana ambaye hata hivyo haiwezi kumuathiri kwa lolote lile kwani alishaachana na mambo ya siasa. Adhabu hiyo mbadala ilipingwa kwa nguvu zote na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr. Bashiru Ally ambaye alisimamia Membe na Kinana kufukuzwa.

Taarifa zilizovuja ndani ya kamati hiyo zinadai kuwa wajumbe wa kikao hicho waliondoka bila ya kupata muafaka wa pamoja huku wababe wanne ambao walisimamia Membe kufukuzwa wakitoka na maamuzi yao.

My take: Upo uwezekano kuwa ndani ya CCM kuna mgogoro unaoendelea licha ya wachache kutuaminisha kuwa wanachama wake ni wamoja. Tusubiri tuone watakaoanza kuunga mkono msimamo wa Membe wazi wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HII INAONYESHA DEMOCRASIA NDANI YA CCM!
CHADEMA MNAKWAMA WAPI? HUKU HAKUNA MAMBO YA "SUMU HAIRAMBWI"
kwa kuongezea tu
Mleta Mada kadai kikao hakikufikia Muafaka wajumbe wa Kamati Kuu walitoka kila mtu na lwake
hiyo sio CHADEMA kila mtu na lwake
agenda inafubgwa mnaingia nyingine mwisho Katibu Itikadi na uenezi anaenda tangaza
sio baada ya Kikao Mwenyekiti anaitisha waandishi na kusema Kikao kimefikia Zitto afukuzwe
 
Kati ya wajumbe wote wa kamati kuu ni watu watatu tu pamoja na msemaji wao ndiyo waliounga mkono Membe kufukuzwa. Hata aliyeongoza Tume ya Maadili, yaani Mzee Philip Mangula alipinga Membe kuvuliwa uanachama wa chama hicho, imedokezwa.

Wajumbe wengi walipendekeza Benard Membe kufungiwa kufanya siasa ndani ya chama hicho kwa muda maalum kama adhabu mbadala ili kuepuka kukigawa chama.

Adhabu kama hiyo ndiyo alipewa Kinana ambaye hata hivyo haiwezi kumuathiri kwa lolote lile kwani alishaachana na mambo ya siasa. Adhabu hiyo mbadala ilipingwa kwa nguvu zote na Katibu Mkuu wa chama hicho Dr. Bashiru Ally ambaye alisimamia Membe na Kinana kufukuzwa.

Taarifa zilizovuja ndani ya kamati hiyo zinadai kuwa wajumbe wa kikao hicho waliondoka bila ya kupata muafaka wa pamoja huku wababe wanne ambao walisimamia Membe kufukuzwa wakitoka na maamuzi yao.

My take: Upo uwezekano kuwa ndani ya CCM kuna mgogoro unaoendelea licha ya wachache kutuaminisha kuwa wanachama wake ni wamoja. Tusubiri tuone watakaoanza kuunga mkono msimamo wa Membe wazi wazi.
Hivi unaamini kuna mwana kamati atampinga Mwenyekiti wa CCM ndani ya vikao?
 
Bashiru anatumika na jiwe kusimika udikteta ndani ya chama. Bashiru ipo siku atajuta anayoyafanya ndani ya chama.

Ni aibu kwa mhadhiri aliyewahi kuheshimika siku za nyuma. Anaaibisha taaluma yake na anajiwekea alama ya kudumu atakayokufa nayo kwa majuto. Lakini majuto ni mjukuu. Pole sana kadikteta kabashiru.
Utakufa na stress bure achana na Chama Dume wewe hutakiweza!
 
Back
Top Bottom