CCM: Shonza ameshindwa kazi!

CCM: Shonza ameshindwa kazi!

Kazi ziko nyingi, ameshindwa hiyo atafanya ile nyingine lakini akumbuke zana sahihi!
 
hao akina shonza ni viherehere vyao tu CHADEMA kimeanzishwa kwa malengo ya kabila fulani tu babu anatambua hilo ndo mana wanamlipa mamilioni asimamie maslahi yao hakika hatupo tayari kukabidhi nchi mifukoni mwa watu kwamwe na abadan

HAYA Nisomee safu ya uongozi wa ccm, tuone jinsi suala la udini, ukabila, ujeshi na undugu ulivyotawala. kisha uweke na list ya cdm kisha tuijadili

hata Rais MOI wa kenya hakuamini kuwa KANU itakuja kufa na kuwa chama kidogo cha upinzani. nenda kamuulize kilichomtokea, atakupa ushahidi sio porojo mnazosema humu jukwaani. Gadaffi angekua hai ningekushauri kaombe taarifa. lkn kamtafute Rais wa Ivory Coast, Misri na Tunisia hata Rais wa Ufaransa aliyepita watakujuza
 
asnte kwa kunihakikishia kua ni kweli mmlimtuma na kumfush,issue ya kikao sio hoja,,hoja ni kuwa umekubali kuwa Shonza ameshatumika na atatupwa!
 
Mleta uzi na ukapimwe akili nadhan hauko sawa.eti kikao lumumba?kipi au kile cha kujikopesha milion 140 ya ruzuku?uliza kilifanyika wp sio kukurupuka,afu mbona kinondon na lumumba mbali we umejichanganyaje?

wewe ndo kapimwe akili mana upo upo tu kaz kula hela za kifisadi kisa unawashabikia ,fal.a kweli wewe,hv nyie watz mmezibwa nini msieweza tambua kuwa mwadanganywa,au unakula nawe fedha za shemeji m2?
 
Namuona raisi wangu [MENTION]Dr Slaa[/MENTION] hapo chini....
nina hamu ya kusikia walau neno moja kutoka kwake!!!!!!!
 
Mleta uzi na ukapimwe akili nadhan hauko sawa.eti kikao lumumba?kipi au kile cha kujikopesha milion 140 ya ruzuku?uliza kilifanyika wp sio kukurupuka,afu mbona kinondon na lumumba mbali we umejichanganyaje?

Mkuu, vipi unashangaa kuona siri imevuja? Ndio hivyo, hata huko kwenu usidhani wote wanapenda mnavyoendesha mambo ndio maana nao wanatoa siri, hapa unachoshangaa ni nini, kikao sikilikua na watu zaidi ya 10? Kumbuka ile tume ya Mzee Mwinyi iliyokua inachunguza mpasuko ndani ya ccm mwaka 2008, wajumbe walikua 3 tu, lakini kila walichokua wanajadiri kesho yake JF na Mwanahali walikua wanatoa neno kwa neno kwa kilicho zungumzwa, Karibu sana JF.
 
wamtume mpaka nape aje tu! tumeanza na Mungu na tutamaliza na Mungu. mimi nashindwa kushangaa kama aliona chademe kuna madudu huyu shonza alishindiwa nini kuyasema na kutoka akasubiri afukuzwe ndio aje aseme? yani amefilisika kiuongozi, kijamii na kifikra pia
 
Mkubwa! Umeonaee! Yupo kikazi zaidi kwa mtazamo wangu wa haraka haraka!

nakubali manemo yako mkuu....niliwahi mskia nape akihojiwa na salama jabir ..namnkuu ana id 2 lakini anawasaidizi wake wanazitumia hapo sasa ndio nikaamini kuna kikundi kipo humu mitandaoni
 
Naona pia Dr. yumo jamvini.

Dr. unadhani CDM ilikosea wapi katika kuchambua vijana wa kuwapa majukumu ndani ya BAVICHA mpaka kuleta watu kama huyu dada? Nauliza hivi kwa muktadha wa habari hii.
 
'Nani alimwambia kuwa awe anapambana na John Heche badala ya kumsumbua Dr.Slaa ili CHADEMA iyumbe? Nani alimwambia kuwa nguvu ya CHADEMA ni BAVICHA badala ya Kamati Kuu yao? Huyu Binti(Juliana Shonza) ameshindwa kazi aliyotumwa. Nape na Wassira hawakumwongoza vyema'

Hayo ni maneno ya kada mmoja maarufu wa CCM na Mwenyekiti wa CCM wa sasa Dar es Salaam,Bwana Madabida alipokuwa akichangia hoja katika kikao kimojawapo kilichofanyika leo Ofisi Ndogo za CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam.Kikao hicho kilikuwa kikijadili mchango wa Vijana katika kuimarisha Chama cha Mapinduzi.

Katika kikao hicho,ilielezwa kuwa Juliana Shonza alipewa kazi maalum ili aiyumbishe CHADEMA kabla ya kutimkia CCM kwa mbwembwe nyingi. Ikazungumzwa kimaamuzi kuwa sasa Juliana Shonza hawezi tena kupewa cheo alichoahidiwa ndani ya UVCCM kwakuwa kazi aliyotumwa ameshindwa vibaya. Sasa Shonza anachukiwa na makada karibu wote wa CCM pale Lumumba.

Wenu,
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba Dar

No wonder bado analia kuwa yeye Chadema bado! Loh aende kuwa mwenyekiti wa Chausta!
 
Last edited by a moderator:
Masikini Shonza.Jama wamemla na ahadi kibao mwisho wa siku anaonekana kituko.Binti tumia akili siyo hisia.Unaona sasa unaumbuka.Shame on you and your family
 
Eti Shoza aiyumbishe CDM hivi CCM wanaakili?
Kameyumba kenyewe sasa muda si mrefu kataanguka.
 
mtahangaika sana kamwe hamtashinda CCM #1 ukabila wenu na udini wenu CDM ndo unawaponza
Hakuna udini zaidi ya ule wa CCM na CUF wa kuhamasisha mataahira kuchoma nyumba za kuabudia!
Mwenyekiti wenu ameigawa nchi mapande mapande kidini, kitabaka, kishkaji na kiukoo.
CCM ni janga la taifa na ngonjera zenu za ukabila na udini sasa zimechuja.
Kamwe watanzania hawadanganyiki. Subirini kiama yenu 2015.
 
Shonza kashindwa kazi aliyotumwa na magamba sasa kinachobaki ni wao kumshughulikia tu.
wapenzi wangu chadema hivi kama mnaanza kushughulikiana nyinyi kwa ninyi mtafika kweli?? mungu awarehemu
 
HAYA Nisomee safu ya uongozi wa ccm, tuone jinsi suala la udini, ukabila, ujeshi na undugu ulivyotawala. kisha uweke na list ya cdm kisha tuijadili

hata Rais MOI wa kenya hakuamini kuwa KANU itakuja kufa na kuwa chama kidogo cha upinzani. nenda kamuulize kilichomtokea, atakupa ushahidi sio porojo mnazosema humu jukwaani. Gadaffi angekua hai ningekushauri kaombe taarifa. lkn kamtafute Rais wa Ivory Coast, Misri na Tunisia hata Rais wa Ufaransa aliyepita watakujuza
dada yangu amini nikwambiayo ninapo sema tutashinda najua namaanisha nini mwanaume anajua anachofanya tusibishane sana subiria sinema uione
 
Hakuna udini zaidi ya ule wa CCM na CUF wa kuhamasisha mataahira kuchoma nyumba za kuabudia!
Mwenyekiti wenu ameigawa nchi mapande mapande kidini, kitabaka, kishkaji na kiukoo.
CCM ni janga la taifa na ngonjera zenu za ukabila na udini sasa zimechuja.
Kamwe watanzania hawadanganyiki. Subirini kiama yenu 2015.
unajua baba wa taifa alisema bila ccm nchi itayumba na rais bora tz atatoka CCM
 
Back
Top Bottom